Naomba ushauri wa njia bora ya kuendesha Microfinance

Naomba ushauri wa njia bora ya kuendesha Microfinance

AGROPRODUCT

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2023
Posts
290
Reaction score
952
Wadau wa Jamiiforums mnipe MBINU na njia sahihi ya uendeshaji wa Microfinance. Eli Mimi na wateja wangu wote tufaidike, wao wapate mkopi nafuu wenye kutimiza malengo yao, na Mimi nipate japo faida kidogo.

Kwa Sasa interest rate yangu 3.5% Kwa mwezi (0.035%). Gharama nyingine ni ndogo sana.

Jumla ya Gharama na Riba 10%.
Wadau naomba mnipe MBINU zaidi niwezi boresha Hii huduma Kwa upana zaidi.
 
Interest rate 3.5% kwa io gharama ni 6.5%? Hapo sijaelewa

Bongo biashara ya kukopa pesa hasa Hawa wajasiriamali na watumishi kwa njia ya wao kuacha kadi inahitaji ukauzu sana, nunua panga kabisa jipya hapo


Wenzako Wanaweka riba ya 20% kwa mwezi na Kila siku wanafunga


Niliwahi kufanya hii kazi, ujinga wa hii kazi ni mmoja, wakiskia umefungua ofisi mpya watakuja kama mvua, hua wanaita chimbo jipya, ila sasa Hawa ni wale wadaiwa sugu ambao washakimbia na madeni karibu ofisi zote eneo Hilo, hawakopesheki tena


Ni sawa na mtu ana deni songesha, m PAWA, mgodi, chomoka etc siku akiona huduma mpya ya kukopa pesa anaikimbilia fasta, maana kwingine hakopesheki,na Hana Nia ya kulipia


Na ujinga ni kua hizo ofisi zilizokuzunguka hawawezi kukupa data zao ukawajua wasumbufu, kua makini ndugu wabongo kukopa sherehe kulipa matanga
 
Mkopo wako walengwa ni kina nani???, watumishi, wajasiriamali au watu binafsi??

Kama ni wajasiriamali wadogo wadogo nakushauri weka riba asilimia 20% na 4% gharama ya fomu( kama taratibu nyingine za ukaguzi na utambulisho wa serikali za mtaa na malipo ya software kama unatumia)...

Wajasiriamali weka utaratibu wa kua wanaleta marejesho kila siku ili kupunguza risks za kupoteza hela, walau mpaka mwezi ukiisha hatakama anakua hajamaliza basi deni libaki kidogo tofauti na ukimpa mwezi mzima alipe sikumoja kwa MJASIRIAMALI mdogo ni changamoto kupata hela kwa pamoja....,

Kabla hujampa hela make sure unathaminisha dhamana zake walau ziwe na thamani mara mbili au mara tatu ya hela anayochukua,.

Na awe na wadhamini wasiopungua wawili na hakikisha wote wanasign siku ya kuchukua mkopo ili iwe rahisi kupata msaada siku kukitokea changamoto ( Make sure wote watatu wanaambatanisha passport na copy za vitambulisho na muhuri wa kiongozi wa mtaa kwenye fomu yake ya kuombea mkopo)

The last but not least, make sure unakua na system nzuri ya managements( hapa nazungumzia microfinance software's za uhakika kama FIMA), Japo wana cost ghali lakini ufanisi wake ni mkubwa
 
Mkopo wako walengwa ni kina nani???, watumishi, wajasiriamali au watu binafsi??
Kama ni wajasiriamali wadogo wadogo nakushauri weka riba asilimia 20% na 4% gharama ya fomu( kama taratibu nyingine za ukaguzi na utambulisho wa serikali za mtaa na malipo ya software kama unatumia)... Wajasiriamali weka utaratibu wa kua wanaleta marejesho kila siku ili kupunguza risks za kupoteza hela, walau mpaka mwezi ukiisha hatakama anakua hajamaliza basi deni libaki kidogo tofauti na ukimpa mwezi mzima alipe sikumoja kwa MJASIRIAMALI mdogo ni changamoto kupata hela kwa pamoja...., Kabla hujampa hela make sure unathaminisha dhamana zake walau ziwe na thamani mara mbili au mara tatu ya hela anayochukua,. Na awe na wadhamini wasiopungua wawili na hakikisha wote wanasign siku ya kuchukua mkopo ili iwe rahisi kupata msaada siku kukitokea changamoto
Watumishi , wajasiriamali wadogo , ila sharti number Moja lazima uwache dhamana yenye Thamani mara Moja na nusu or mara mbili yake.
 
Interest rate 3.5% kwa io gharama ni 6.5%? Hapo sijaelewa

Bongo biashara ya kukopa pesa hasa Hawa wajasiriamali na watumishi kwa njia ya wao kuacha kadi inahitaji ukauzu sana, nunua panga kabisa jipya hapo


Wenzako Wanaweka riba ya 20% kwa mwezi na Kila siku wanafunga


Niliwahi kufanya hii kazi, ujinga wa hii kazi ni mmoja, wakiskia umefungua ofisi mpya watakuja kama mvua, hua wanaita chimbo jipya, ila sasa Hawa ni wale wadaiwa sugu ambao washakimbia na madeni karibu ofisi zote eneo Hilo, hawakopesheki tena


Ni sawa na mtu ana deni songesha, m PAWA, mgodi, chomoka etc siku akiona huduma mpya ya kukopa pesa anaikimbilia fasta, maana kwingine hakopesheki,na Hana Nia ya kulipia


Na ujinga ni kua hizo ofisi zilizokuzunguka hawawezi kukupa data zao ukawajua wasumbufu, kua makini ndugu wabongo kukopa sherehe kulipa matanga
Hizo gharama za mikopo , inajumuisha gharama za kumtembelea mteja, kukagua dhamana., Gharama za uendeshaji mkopo
 
Interest rate 3.5% kwa io gharama ni 6.5%? Hapo sijaelewa

Bongo biashara ya kukopa pesa hasa Hawa wajasiriamali na watumishi kwa njia ya wao kuacha kadi inahitaji ukauzu sana, nunua panga kabisa jipya hapo


Wenzako Wanaweka riba ya 20% kwa mwezi na Kila siku wanafunga


Niliwahi kufanya hii kazi, ujinga wa hii kazi ni mmoja, wakiskia umefungua ofisi mpya watakuja kama mvua, hua wanaita chimbo jipya, ila sasa Hawa ni wale wadaiwa sugu ambao washakimbia na madeni karibu ofisi zote eneo Hilo, hawakopesheki tena


Ni sawa na mtu ana deni songesha, m PAWA, mgodi, chomoka etc siku akiona huduma mpya ya kukopa pesa anaikimbilia fasta, maana kwingine hakopesheki,na Hana Nia ya kulipia


Na ujinga ni kua hizo ofisi zilizokuzunguka hawawezi kukupa data zao ukawajua wasumbufu, kua makini ndugu wabongo kukopa sherehe kulipa matanga
Hizo gharama za mikopo , inajumuisha gharama za kumtembelea mteja, kukagua dhamana., Ghara
Soma kwanza huo utaratibu wa wajasiriamali ukielewa vizuri niambie nikupe mbinu za watumishi na watu binafsi
Nimesoma na kuelewa .
 
Hizo gharama za mikopo , inajumuisha gharama za kumtembelea mteja, kukagua dhamana., Ghara

Nimesoma na kuelewa .
Ok
Kwa watumishi make sure, kigezo cha kwanza awe ni mtumishi wa serikalini hawa wa sekta binafsi achana nao,( Labda wa afya),. Ukipata wanajeshi pia utaenjoy sana...usikopeshe walimu utalia na kusaga meno🤒🤒( just kidding)

Riba ya watumishi make sure inapanda kutokana na mda watakaokaa na mkopo wako, ukiaanza na 30% kwa mwezi mmoja, 40% miezi miwili na 50% miezi mitatu.. Inategemea sasa na competition ya eneo ulilopo( unaweza kupunguza kidogo ili uwawini wenzio ambao unahisi wanaweza kukutoa mchezoni )..

Nikiwa na maana kwamba mfano, akichukua Tsh.100000 ndani ya mwezi mmoja atatakiwa kulipia Tsh 130000,. Kama atalipa ndani ya miezi miwili atatakiwa kulipia Tsh 140000, means mwezi wa kwanza utamkata 70000 na mwezi wa pili tsh 70,000. Na kama atalipa ndani ya miezi mitatu means atatakiwa kulipa 150, 000, utamkata 50,000 kila mwezi ndani ya miezi mitatu.

Kama kweli unataka kupata faida make sure mikopo yako haizidi mda wa miezi mitatu,( Hiyo ndo iwe maxmum) akitaka ya kuanzia sita hadi mwaka aende Bank..

Watumishi hakikisha wanakuachia kadi pamoja na pins zao kama dhamana, pamoja na bank statements walau za miezi6 hadi mwaka,.., Pamoja na fomu ya uthibitisho kutoka kwa afisa utumishi wake ili ujihakikishe kama kweli anafanya kazi kitengo husika,

Kuhusu penalties nadhani nitakuelekeza wakati mwingine,, Soma kwanza hii ukielewa tuendelee na Mikopo ya watu binafsi🙏
 
Wadau wa Jamiiforums mnipe MBINU na njia sahihi ya uendeshaji wa Microfinance. Eli Mimi na wateja wangu wote tufaidike, wao wapate mkopi nafuu wenye kutimiza malengo yao, na Mimi nipate japo faida kidogo.

Kwa Sasa interest rate yangu 3.5% Kwa mwezi (0.035%). Gharama nyingine ni ndogo sana.

Jumla ya Gharama na Riba 10%.
Wadau naomba mnipe MBINU zaidi niwezi boresha Hii huduma Kwa upana zaidi.
zidisha riba na hakikisha ni mkopo kausha damu ,nakupa mwaka wewe ushakuwa benki kabisa na tajiri
 
Mkopo wako walengwa ni kina nani???, watumishi, wajasiriamali au watu binafsi??

Kama ni wajasiriamali wadogo wadogo nakushauri weka riba asilimia 20% na 4% gharama ya fomu( kama taratibu nyingine za ukaguzi na utambulisho wa serikali za mtaa na malipo ya software kama unatumia)...

Wajasiriamali weka utaratibu wa kua wanaleta marejesho kila siku ili kupunguza risks za kupoteza hela, walau mpaka mwezi ukiisha hatakama anakua hajamaliza basi deni libaki kidogo tofauti na ukimpa mwezi mzima alipe sikumoja kwa MJASIRIAMALI mdogo ni changamoto kupata hela kwa pamoja....,

Kabla hujampa hela make sure unathaminisha dhamana zake walau ziwe na thamani mara mbili au mara tatu ya hela anayochukua,.

Na awe na wadhamini wasiopungua wawili na hakikisha wote wanasign siku ya kuchukua mkopo ili iwe rahisi kupata msaada siku kukitokea changamoto ( Make sure wote watatu wanaambatanisha passport na copy za vitambulisho na muhuri wa kiongozi wa mtaa kwenye fomu yake ya kuombea mkopo)

The last but not least, make sure unakua na system nzuri ya managements( hapa nazungumzia microfinance software's za uhakika kama FIMA), Japo wana cost ghali lakini ufanisi wake ni mkubw

zidisha riba na hakikisha ni mkopo kausha damu ,nakupa mwaka wewe ushakuwa benki kabisa na tajiri
Hapana Hii inatakiwa iwe huduma , Tusiumize watu na kuwafilisi
 
Back
Top Bottom