kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,651
- 6,966
Kwahiyo Miaka 90 bado unawaza kuzaa?Mungu alikupa mwanaume uwezo wa kumjaza mimba mwanamke hata ukiwa na miaka 90, lakini mwanamke 40 tu kupata mimba ni mbinde.
Halafu anakuja mtu anakushauri mwanaume eti kufunga kizazi. Never