macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Gari za umeme betri iko fixed. Kuitoa mpaka upeleke kwa fundi na ni shughuli hivyo ondoa wazo la kusema utatembea na betri za akiba kama tochi. Nchi zilizoendelea wanachofanya ni kuweka vituo vya kuchajia vingi njiani. Kwa mfano utoke Mwanza kuja Dar unakuta kuna vituo vingi njiani.Hakuna kubeba zawadi za kutosha kutoka Dar maana boot inakuwa imejaa mzigo wa betri
Saba Saba Kweli Ni JangaKuna kuku Mimi ninao mbegu zake au jamii yake, nauza 20-30 kwa mmoja eti sabasaba wanapigwa watu laki 4
Ilikuwa jokes based on comment ya mdau juu ila kwa mantinki hiyo haya magari hayafai maana kama charge inaingia masaa ya kutoshaGari za umeme betri iko fixed. Kuitoa mpaka upeleke kwa fundi na ni shughuli hivyo ondoa wazo la kusema utatembea na betri za akiba kama tochi. Nchi zilizoendelea wanachofanya ni kuweka vituo vya kuchajia vingi njiani. Kwa mfano utoke Mwanza kuja Dar unakuta kuna vituo vingi njiani.
AhahahahaSaba Saba Kweli Ni Janga
Nangoja Nane Nane Waje Morogoro Na Bata Wa Mayai Wanaoitwa Indian
Nadhani Watauzwa Million Moja
Kabisa. At least sasa hivi kwa nchi yetu hayafai. Note kuwa umeme unaotumika kuchaji unatakiwa uwe mkubwa, hivyo point ya kuchajia haitakiwi iuanganishwe kwenye umeme wa nyumbani. Ukichaji na umeme wa huku majumbani kwetu itachukuwa muda mrefu mno. Ulaya kuna points maalum za kuchajia na umeme wake ni kubwa kuliko wa majumbani.Ilikuwa jokes based on comment ya mdau juu ila kwa mantinki hiyo haya magari hayafai maana kama charge inaingia masaa ya kutosha
Unakuwa na mzigo wa betri unabadili tu unasongaUnaanza safari kutoka dar kwenda dodoma.
Ukifika mikeese morogoro unapaki unachaji masaa 15. Unawasha unasonga mbele, ukifika pandambili-kibaigwa unapaki, unachaji masaa 15. Unawasha tena, kufika dodoma betri lina 47%.
Safari ya siku 3. Aloo
Ni umeme wa three phase tu ndio unaotumika sio kwamba majumbani haupo, kwa wale wenye nyumba kubwa wanatumia huu.Kabisa. At least sasa hivi kwa nchi yetu hayafai. Note kuwa umeme unaotumika kuchaji unatakiwa uwe mkubwa, hivyo point ya kuchajia haitakiwi iuanganishwe kwenye umeme wa nyumbani. Ukichaji na umeme wa huku majumbani kwetu itachukuwa muda mrefu mno. Ulaya kuna points maalum za kuchajia na umeme wake ni kubwa kuliko wa majumbani.
Demand ufata wateja,kama ilivyo mitungi ya gas hadi vijijini imejaa leoCharging system lazima itakuwa improved as days goes on..
Kabisa. Umetoa point kubwa.Demand ufata wateja,kama ilivyo mitungi ya gas hadi vijijini imejaa leo
Wewe huelewi kwanini upo JfMagari umeyaona sabasaba, ushauri unakuja ulizia JF...
Kwa nini hukuwauliza hao walioyaweka hayo magari sabasaba?
Betri yake imejengewa kama engineInafaa uwe na betri 2
Waambie wajengee 2Betri yake imejengewa kama engine
Afu unazieka wapi...Yaani watembea km 200 tu betri imeisha, kisha uchaji betri kwa karibu saa 10! Duh, kwa hiyo hayo masaa 10 unakuwa umepaki wasubiria betri lijae au unakuwa upo kwenye mwendo betri lajichaji automatically?!
Pengine labda itabidi uwe na betri zaidi ya moja (angalau tatu hivi) ukizingatia na umeme wetu wa kuunga unga
Nunua lenye option mbili, ila kwa uoande wangu mm ningenunua nissan EV PURE 100 umeme lingenifaa sanaNimeyakagua pale maonesho ya Sabasaba
La Mwanza ni Nissan saloon linatumia umeme 100%
Ni mtumba
Betri ikiwa full unatembea km 200
Betry inachajiwa kwa saa 8 hadi 15
Ya pili ni Toyota
Inatumia Umeme na Petrol
Lita moja ya Petrol unatembea km 25
Hawapo barabarani hayana muungurumo zaidi ya kupiga honi tu
Bei yake moja
Ushauri tafadhali lipi litafaa zaidi katika mazingira ya Tanzania
Natanguliza shukrani
Ni kweli kabisaAfu unazieka wapi...
Battery ya kwh kadhaa labda 20,40,60 unajua uzito wake?
Ziko under floor ..battery yaweza fikia nusu tani Kama uzito
Ni mkoani huku nyanshima.Mkuu hii ni bei elekezi ya dar au wapi?
Hio ya kuchajia nyumbani ndio ya kuchukua masaa 8-10. Ila dedicated charging plant ya fast charge ni ndani ya lisaa ishajazaKabisa. At least sasa hivi kwa nchi yetu hayafai. Note kuwa umeme unaotumika kuchaji unatakiwa uwe mkubwa, hivyo point ya kuchajia haitakiwi iuanganishwe kwenye umeme wa nyumbani. Ukichaji na umeme wa huku majumbani kwetu itachukuwa muda mrefu mno. Ulaya kuna points maalum za kuchajia na umeme wake ni kubwa kuliko wa majumbani.