Dada, kwanza mm nakukaribisha sn ktk mtandao wetu wa sema usikike ktk jamii yetu, ila usivunje sheri, kwa mtu yeyote aliyeko humu kwenye mtandao au nje ya mtandao kwa kudhalilisha kwa namn yoyote ile, ili uwanja na carpet let au jamvi letu liweze kuwahabarish maelfu ya watu,
kuhusu jambo hili, dada nakupa pole kidogo tu, kwa hili lililotokea kwani hata mm limenikuta japo sijawahi kusema kuwa limenikuta llkn kwa ujasiri wako namm napenda kuwa wazi kwa hili, mm nilisafiri nje ya nchi nikiwa huku, nikasikia mke wangu anaumwa sn, tulikuwa tumeachana kama miezi mitano hivi alipopima akagundua kaathirika, lkn hakusema, niliporudi hakuwa wazi lkn alijikinga ili nisiambukizwe, lkn namshukuru sn Mungu nilipopimwa nikwa mzima, lkn mbele ya nesi mke wangu akawa analia, nikamwambia usihofu mke wangu, nitakuwa na ww kwa kila hali wala sifikirii kukuacha naposema mpaka ss niponae tunaishi maisha mazuri tu, watoto wetu wapo sekondari wengine wako primary school, napendakusema kuwa si lazima unisikilize mm au dada anaesema wanaume waongo sn atakubwaga sikumoja, c kweli sn mbona mm sijambwaga mke wangu tunakula tunda kivingine ci lazima liwe kama mwanzo,
jipe moyo mkuu sn, usiwaze wala kumfikiria sn mumeo kuwa ss anakula tunda kwa kumenya maganda wakati kwako ala kwa maganda, jitulize sn, ondoa gubu kabisa mbembeleze sn umlee zaidi ya mwanzo ili akupende zaidi ya mwanzo, usisikie la mtu maadam akubali kuwa atakuwa na ww kama mm nilipokubali mpende sn, leo toka alipoumwa mke wangu ni mwaka wanne, tupo woe na watoto wetu hawajui km mama aanumwa hiv.
Ubarikiwe sn.