Habari wana jamii wote,ni mara yangu ya kwanza kuingia huku kwenye forum hii
Naomba sana mnipe ushauri wenu kwa haya nitakayoyaeleza hapa
Mimi nimeolewa nina miaka 13 katika ndoa, nina mtoto mmoja wa kiume mwenye miaka 12, mume wangu ana mtoto wa kike mwenye miaka 10 aliezaa na mwanamke mwingine.
tatizo langu ni kuwa miaka mitatu iliyopita niligundua kuwa nimeathirika na sasa natumia dawa za kupunguza makali(ARV)
Nilishindwa kumweleza mume wangu kuhusu hali yangu kwa kuwa kila nilipomshauri kuhusu kupima afya alikuwa hataki akidai kuwa siku akigundua kuwa ameathirika atakufa. Ila mimi nilipogundua kuwa nimeathirika nikawa sikubali kufanya mapenzi bila kutumia kinga, ingawa wakati mwingine alikuwa analazimisha lakini sikuwa tayari.
Hivi karibuni akanieleza kuwa amegundua kuhusu hali yangu baada ya kuona kadi yangu ya clinic, na yeye ameenda kupima na amesema yeye hajaathirika, hivyo kasema tuendelee kuishi bila watu kujua.
Mimi nikampa option kuwa kwa kuwa yeye ni mzima basi nisimbane kama atahitaji awe na mwenza mwingine basi tunaweza kuachana na yeye akaanza maisha mapya, lakini kasema kuwa haiwezekani tuachane kwa kuwa tumeishi muda mrefu na tumesaidiana mengi.
sasa naomba ushauri wenu je hili linawezekana? Au mna ushauri gani?
Ahasanteni
Let me analyse your story as follows;
- Duration of marriage.......13 years!
- First born in the marriage.....12 years!
- Father's second born out of the marriage.....10 years!
- Previous HIV test agreements..... Father NO, Wife YES to visit the HIV test center!
- Situation in test...... Individually!
- HIV test results..... Father negative, Wife positive!
- Duration for discovering HIV results......3years!
- Wife's name ....... Baraka_41!
- Opinions after HIV status discovered......Wife; Divorce, Father; Never divorce!
Questions arising in my minds;
- The father's second born is 10years old, and she is originated out of "ndoa"...! and a wife became HIV positive within marriage and she was affected alone...! Je, uaminifu kwenye ndoa uko wapi?
- If a wife proposed for divorce under the marital status, did she forget the negative effects of divorce to their first-born of 12years?
- Kama haukuwepo uaminifu kwenye ndoa, hii kuathirika kwa mama sio adhabu ya kulipiza kisasi kwa mumewe baada ya kugundua baba ana mtoto nje?
- How comes the name of the woman to be "Baraka"?
- Kwanini baba ameamua kwenda kupima mwenyewe sasa? Huo ujasiri kautoa wapi?
- Mbona mama mwenyewe hana uhakika kama ugonjwa huu kaupata wapi? Au vituo vimekuwa vingi?
My stand;
I guess that this story is cooked and not real.....! Otherwise, huenda hata baba ameathirika.....!