Aliko Musa
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 209
- 315
Habari,
Naitwa Aliko Musa. Ninaishi mkoani Mbeya. Mimi ni mwandishi na mshauri mbobezi kuhusu uwekezaji katika ardhi na majengo.
Mejesho kutoka kwa wasomaji wa makala zangu kwenye mtandao wa UWEKEZAJI MAJENGO BLOG umeonyesha wengi hushindwa kumiliki ya kwanza kutokana na sababu mbalimbali.
Kwa kuwa mafanikio makubwa yana chanagamoto zake. Na kumiliki nyumba ya kwanza ni moja ya hatua kubwa kuifikia maishani.
Hivyo, ninaomba tushirikishane mbinu mbalimbali zinazoweza kuwasaidia watu walioajiriwa serikalini na taasisi binafsi.
Nimepata wazo hili kwa sababu nimeona wengi wa waajiriwa hawawezi kumudu kununua nyumba au kujenga nyumba zao za kwanza kwa wakati.
Wengine wanafikia hatua mpaka kuchukua mkopo wa watumishi kununua au kujenga nyumba yao ya kwanza.
Waajiriwa wengine wamesubiria pensheni yao kama fedha kwa ajili ya kununua au kujenga nyumba yao ya kwanza wanayoipenda.
Ninaamini wewe unayesoma hapa mawazo yako yanaweza kuwa msaada mkubwa kwetu sote.
Tutaweza kumiliki nyumba ya kwanza, ya pili na kuendelea kwa kutumia mbinu utakazotushirikisha hapa.
Ombi; naomba unishirikishe rafiki yangu. Hakika utakuwa umetusaidia sana rafiki yetu.
ZAWADI YA KITABU; Njia 120 Za Kutengeneza Fedha Kwenye Ardhi Na Majengo.
Kwa mchangiaji ambaye ataonyesha ushirikiano mzuri nitampatia zawadi ya kitabu hiki.
Ushirikiano wake utaonekana kwenye maoni chini ya makala hii. Yeyote atakaye kuwa na moyo wa kujali na kutoa mbinu bora atapata kitabu.
Rafiki yako,
Aliko Musa.
WhatsApp/calls: +255 752 413 711
Naitwa Aliko Musa. Ninaishi mkoani Mbeya. Mimi ni mwandishi na mshauri mbobezi kuhusu uwekezaji katika ardhi na majengo.
Mejesho kutoka kwa wasomaji wa makala zangu kwenye mtandao wa UWEKEZAJI MAJENGO BLOG umeonyesha wengi hushindwa kumiliki ya kwanza kutokana na sababu mbalimbali.
Kwa kuwa mafanikio makubwa yana chanagamoto zake. Na kumiliki nyumba ya kwanza ni moja ya hatua kubwa kuifikia maishani.
Hivyo, ninaomba tushirikishane mbinu mbalimbali zinazoweza kuwasaidia watu walioajiriwa serikalini na taasisi binafsi.
Nimepata wazo hili kwa sababu nimeona wengi wa waajiriwa hawawezi kumudu kununua nyumba au kujenga nyumba zao za kwanza kwa wakati.
Wengine wanafikia hatua mpaka kuchukua mkopo wa watumishi kununua au kujenga nyumba yao ya kwanza.
Waajiriwa wengine wamesubiria pensheni yao kama fedha kwa ajili ya kununua au kujenga nyumba yao ya kwanza wanayoipenda.
Ninaamini wewe unayesoma hapa mawazo yako yanaweza kuwa msaada mkubwa kwetu sote.
Tutaweza kumiliki nyumba ya kwanza, ya pili na kuendelea kwa kutumia mbinu utakazotushirikisha hapa.
Ombi; naomba unishirikishe rafiki yangu. Hakika utakuwa umetusaidia sana rafiki yetu.
ZAWADI YA KITABU; Njia 120 Za Kutengeneza Fedha Kwenye Ardhi Na Majengo.
Kwa mchangiaji ambaye ataonyesha ushirikiano mzuri nitampatia zawadi ya kitabu hiki.
Ushirikiano wake utaonekana kwenye maoni chini ya makala hii. Yeyote atakaye kuwa na moyo wa kujali na kutoa mbinu bora atapata kitabu.
Rafiki yako,
Aliko Musa.
WhatsApp/calls: +255 752 413 711