Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekupata mkuuNimeoa wawili, maisha ni buli buli....
Na wewe weka ndani mchuchu huyo, si miaka yote atakuwa mtendaji wa benki...
kwema ndugu zangu
Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja anafanya kazi bank, hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sanaa nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa
mdada wa bank wanaishije huko makwao?..wanaolewa kweli hawa wadada?
Nilisha mdate mmoja, alikuwa na Akili sana.kwema ndugu zangu
Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja anafanya kazi bank, hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sanaa nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa
mdada wa bank wanaishije huko makwao?..wanaolewa kweli hawa wadada?
Akili zake ulizipimaje?Nilisha mdate mmoja, alikuwa na Akili sana.
Shida ni Customer Care dadeki...utaomba Pooh
Amigo Heshima Yako Mkuu.Achana na hao wa bank...
Wengine tulizioa bank zeneyewe...[emoji12][emoji12]
Hatuwaonagi ata mtaani sjui wanaishi wapiKwema ndugu zangu?
Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja anafanya kazi bank.
Hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sana nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa mdada wa bank wanaishije huko makwao?
Wanaolewa kweli hawa wadada?
Duuu balaa snSaivi mtu hana kaz ila anaringa,sasa unajiuliza anaringia nn...nadhani wanaringia pumzi mkuu...hujampata wa kufanana nae tatizo si kaz aliyonayo tatizo MTU mwenyewe na tabia yake
Wapo sana sema wengi wapo kwenye nyumba zenye uzioHatuwaonagi ata mtaani sjui wanaishi wapi