C/CARE hutumia lugha ya mvuto na staha katika kuwahudumia wateja, huenda lugha yake ya kazi ndo imemdumaza kiasi cha kushindwa kuvaa uhusika mwingine akiwa nje ya ofisi, au sivyo basi anafanya kusudi kwa lengo la kupata wafuasi wengi kwa sababu anazozijua mwenyeweChangamoto yake kubwa ni wateja wake.
Kila mteja ana mwita Mpenzi, mara Darling mara love...
Ile lazima ikuchanganye!! Siku moja nimemtoa Lunch kwa pesa yangu, halafu akatokea jinga jinga mmoja huko akamlipia!! Yule fala akaonyesha tu kwa ishara kuwa keshalipia, yeye akaropoka Asante Mpenzi!! Aisee, jamani baby usijali ni mteja wetu!! Mteja wenu?? Dadeki!! By the way nilishindwa kumuoa simply kwa hiyo life style yake yakijinga na hadi leo hajaolewa!!