Haji Mashaka Nassoro
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 384
- 850
Wadada wa benki Tellers amna kitu wana njaa kichizi afu wezi wanaset kiwiziwizi mashine ya kuhesabu pesa ukitoa mzigo mkubwa lazima wakupige msimbazi moja[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadada wa benki Tellers amna kitu wana njaa kichizi afu wezi wanaset kiwiziwizi mashine ya kuhesabu pesa ukitoa mzigo mkubwa lazima wakupige msimbazi moja[emoji3]
Wana mishahara midogo, huwa wanabuni njia za kuwaingizia kipato cha ziadaWadada wa benki Tellers amna kitu wana njaa kichizi afu wezi wanaset kiwiziwizi mashine ya kuhesabu pesa ukitoa mzigo mkubwa lazima wakupige msimbazi moja
Unajua kama wamo umu wanakusoma?Wadada wa benki Tellers amna kitu wana njaa kichizi afu wezi wanaset kiwiziwizi mashine ya kuhesabu pesa ukitoa mzigo mkubwa lazima wakupige msimbazi moja
Humu wamo wakumwaga hasa CRDB na NMB kuna mmoja ashawai kunizidishia msimbazi mbili nikasepa kimyakimyaUnajua kama wamo umu wanakusoma?
Ni kweli, kuringa kunaweza kuwa ni khulka ya mtu 'tabia yake ya asili', lakini yapo baadhi ya mambo ambayo huwa ni vichocheo vya kumfanya mtu aringe kama uzuri/urembo/usasa, elimu, sifa ya ukoo wake au kabila 'royal blood', ajira/mali/kipato, sifa ya jamii yake 'race: black/white', afya, utaifa/ukanda na mengineyoKuringa ni tabia ya mtu, wala siyo kazi...
Ukweli mchungu[emoji85]Hao pia ni wauzaji tu,sema wao wanauza kistaarabu
Mmh[emoji848]Kiasili mwanamke ni kiumbe aliyezaliwa na tamaa nimewahi fanya kazi bank for almost 10 years kabla sijaacha na kujikita kwenye shughuli zangu wadada wengi waliopo bank tamaa zinawaponza plus kucount pesa nyingi za wateja ukilinganisha na mishahara kiduchu waliyonayo akija tajiri yyt akawapa vitip mara vilaki mara laki mbili ni rahisi kudate nao
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo umewatamani ila hawana mpango na wewe!! Bank ni kazi km kazi nyingine bana!! tatizo wewe ni kajamba nani sasa unawaogopa!!! unaona wao ni matawi!! ......watu tuna chukua wa Bank kuu/ Central Bank of Nigeria sembuse vi Bank vya chcohco ivo??/!
watu wa mbeya mna tatizo sana la domo zege fumba pu koza
zinadumu sema huna kipaji cha kuwajua ke!! mlishaambiwa ''ishini nao kwa akili.''..weye waenda kichwa kichwa...ina maana huna akili!! sawa?? .hata housse girl wako unaemlisha na kumlipa atakukataa tu!...amini maneno yangu!!Kuolewa wanaolewa ila ndoa zao nyingi hazidumu.
Ulikagua Account yako ukaona kweli kakuzidishia maana wa hudumu wa banki wezi Sana unaweza ukaandika kwenye form unatoa elf 70 sasa yeye anatoa elf 90 wewe anakupa elf 80 kwaiyo ukihesabu utaona kakuzidishia wakati yeye kashaichukua elf kumi yako.Humu wamo wakumwaga hasa CRDB na NMB kuna mmoja ashawai kunizidishia msimbazi mbili nikasepa kimyakimya
Kwa kawaida ukisikia kuna harusi ya mdada wa benki mara nyingi yeye ndiye anakuwa anaoa siyo kuolewa.....sababu wanawezana na Marioo wapenda mtelemko tuKwema ndugu zangu?
Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja anafanya kazi bank.
Hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sana nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa mdada wa bank wanaishije huko makwao?
Wanaolewa kweli hawa wadada?
[emoji3]Kwa kawaida ukisikia kuna harusi ya mdada wa benki mara nyingi yeye ndiye anakuwa anaoa siyo kuolewa.....sababu wanawezana na Marioo wapenda mtelemko tu
kabla sijafilisiwa na Jiwe , niliwala sana pale stanbic na premier branches kwa style hiiKiasili mwanamke ni kiumbe aliyezaliwa na tamaa nimewahi fanya kazi bank for almost 10 years kabla sijaacha na kujikita kwenye shughuli zangu wadada wengi waliopo bank tamaa zinawaponza plus kucount pesa nyingi za wateja ukilinganisha na mishahara kiduchu waliyonayo akija tajiri yyt akawapa vitip mara vilaki mara laki mbili ni rahisi kudate nao
kabla sijafilisiwa na Jiwe , niliwala sana pale stanbic na premier branches kwa style hiiKiasili mwanamke ni kiumbe aliyezaliwa na tamaa nimewahi fanya kazi bank for almost 10 years kabla sijaacha na kujikita kwenye shughuli zangu wadada wengi waliopo bank tamaa zinawaponza plus kucount pesa nyingi za wateja ukilinganisha na mishahara kiduchu waliyonayo akija tajiri yyt akawapa vitip mara vilaki mara laki mbili ni rahisi kudate nao
zinazodumu ni zile ambazo mwanamme anakuwa ana akili lakini hana ishu hivyo anakuwa ameolewa , na ndoa ikivunjika hana pa kwendazinadumu sema huna kipaji cha kuwajua ke!! mlishaambiwa ''ishini nao kwa akili.''..weye waenda kichwa kichwa...ina maana huna akili!! sawa?? .hata housse girl wako unaemlisha na kumlipa atakukataa tu!...amini maneno yangu!!
Inategemea na bank, kwa navyofahamu bank nyingi huangukia TZS. 350,000 - 700,000Hivi kwani bank teller analipwa kiasi.
Maana kuwa wana manjonjo