Naomba uzoefu na wadada wanaofanya kazi Benki, wanaona kama maisha wameyapatia

Naomba uzoefu na wadada wanaofanya kazi Benki, wanaona kama maisha wameyapatia

Kiasili mwanamke ni kiumbe aliyezaliwa na tamaa nimewahi fanya kazi bank for almost 10 years kabla sijaacha na kujikita kwenye shughuli zangu wadada wengi waliopo bank tamaa zinawaponza plus kucount pesa nyingi za wateja ukilinganisha na mishahara kiduchu waliyonayo akija tajiri yyt akawapa vitip mara vilaki mara laki mbili ni rahisi kudate nao
Kumbe ndio zao ngoja tuzisake kwanza.
 
Kuna jamaa tulisoma nae Yuko benki fulani analipwa 1.3M kabla ya makato, msidharau benki msidhani benki ni Kama Halmashauri wanalipwa 700,000/-
Ukilipwa 1.3m kabla ya makato utaangukia kwenye laki laki

Upigwe income tax,worker union.,helsb,bima, labda hizo overtime zinawasukuma

Ila hawana lolote.
 
Ukilipwa 1.3m kabla ya makato utaangukia kwenye laki laki

Upigwe income tax,worker union.,helsb,bima, labda hizo overtime zinawasukuma

Ila hawana lolote.
  • Sio wote wanakatwa Heslb wengine hawakatwi
  • bankers Sio wanyonge Kama Halmashauri
  • mbona Mkuu unachukia bankers eti hawana lolote unaona wivu kisa wenzio wanachukua mikopo Kwa riba nafuu na kwa muda mrefu
 
Mimi nilijua milioni 2 hivi au tatu[emoji2]

Kumbe laki laki tu kama afisa mifugo wa halmashauri[emoji2]
  • Salary Itategemea na Bank international banks zilizopo hapa Tanzania zinalipa mshahara mkubwa kuliko local banks Kama Nmb,crdb
  • Usilinganishe afisa mifugo na bankers, afisa mifugo anasoma miaka mitano bankers degree zao ni three years hence mathematically banker ndiyo mwenye salary kubwa Kwa kigezo cha duration, ukikuta banker aliyesomea 4 years means ni CPA au ni masters degree holder, na hapo salary yake itakuwa above 1.3M labda 1.8au 2M
-kazi ya afisa mifugo Haina swagger 🤣 tongoza demi Mwambie we ni afisa mifugo halafu mwenzio amwambie Yuko NMB utaona response.
 
  • Sio wote wanakatwa Heslb wengine hawakatwi
  • bankers Sio wanyonge Kama Halmashauri
  • mbona Mkuu unachukia bankers eti hawana lolote unaona wivu kisa wenzio wanachukua mikopo Kwa riba nafuu na kwa muda mrefu
Wewe mbona unaona watumishi wa Halmashauri wanyonge [emoji23]
 
Hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sana nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa mdada wa bank wanaishije huko makwao?

Na wameyapatia kweli....

Wewe endelea kucheza NDODO mzee,, hizi Ligi za wakubwa tuachie wajuzi ambao na sisi tunaona maisha tumeyapatia....

Kama wewe hujioni Maisha umeyapatia achana nao,, watakutesa.... Chuma hufua chuma
 
Hivi kwani bank teller analipwa kiasi.

Maana kuwa wana manjonjo
Ukiona bank teller anakufanyia manjonjo basi we endelea kujitahidi kuongeza wekundu kwenye akaunti yako.. Ukiwa na pesa na unaacha vitip hata foleni hutopanga
 
Kuna benki moja kubwa sana hapa bongo, mishahara ni ya kawaida sana, ila mikopo walikuwa wanapewa kwa riba ya asilimia 5 tu. Kiufupi niliwahi fanya hapo kazi miaka 15 iliyopita, life lao ni la kawaida sana mkuu.
Ethics za bank haziruhusu wafanyakazi wao kukopa kwa watu mtaani. Ni aibu kwa mfanyakazi wa bank kukopa mtaani ndio maana kule ndani wanapeana vimikopo vingivingi kwa riba nafuu.. Kuna banks wakijua au wakishtakiwa umekopa sijui dukani au kwa mtu binafsi wanaweza kukuachisha kazi..
 
Na wameyapatia kweli....

Wewe endelea kucheza NDODO mzee,, hizi Ligi za wakubwa tuachie wajuzi ambao na sisi tunaona maisha tumeyapatia....

Kama wewe hujioni Maisha umeyapatia achana nao,, watakutesa.... Chuma hufua chuma
[emoji3]
 
Kwema ndugu zangu?

Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja anafanya kazi bank.

Hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sana nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa mdada wa bank wanaishije huko makwao?

Wanaolewa kweli hawa wadada?
Mkuu jichunge na hawa wadada wafanyao kazi benki kwani wengi wao ni mafuska kupitiliza. Mze wangu aliwahi nikataza kutoka na watu wa benki, mapolisi, mgambo, walinzi, wanamuziki, wasanii wa sinema kwamba si wanawake wa kuwatilia maanani. Watakuja kukuua kwa pressure kutokana na matukio yao yasiyo na mwisho.
 
Mkuu jichunge na hawa wadada wafanyao kazi benki kwani wengi wao ni mafuska kupitiliza. Mze wangu aliwahi nikataza kutoka na watu wa benki, mapolisi, mgambo, walinzi, wanamuziki, wasanii wa sinema kwamba si wanawake wa kuwatilia maanani. Watakuja kukuua kwa pressure kutokana na matukio yao yasiyo na mwisho.
duh ni nomaa
 
Ok nmb bank teller kabla ya dec 2021 ndo walikuwa wanalipwa salary ndogo kuliko bank zingine walikuwa wanaanza na 800k after tax now wapo 1.2m crdb Wana 1.1m tpb Wana 1m tunachokiongea tuna uhakika nacho
Najiuliza hawa wanaoponda bank teller wamechoka wao Wana mishahara gani?!!
 
Back
Top Bottom