Wakuu ni kwa mara ya kwanza nataka kwenda kuangalia mechi ya Simba na Yanga taifa na, sijawahi kabisa kuangalia mechi hapo, so ningeomba kupata experience juu ya
1. Natoka mkoani, jinsi ya kulipia tiketi inakuwaje?
2. Nakuja na watoto, miaka 8, 6 na wa miaka miwili, je VIP itakuwa chaguo zuri?
3. Mechi ni saa moja usiku, angalau muda gani natakiwa niwe nimeshaingia ili kuepusha msongamano? (Kama upo)
4. Nasikia mechi za usiku kunakuwa na tabia za wizi sana je ni kweli?
Na ushauri gan unaweza nipa
Shukrani
1. Natoka mkoani, jinsi ya kulipia tiketi inakuwaje?
2. Nakuja na watoto, miaka 8, 6 na wa miaka miwili, je VIP itakuwa chaguo zuri?
3. Mechi ni saa moja usiku, angalau muda gani natakiwa niwe nimeshaingia ili kuepusha msongamano? (Kama upo)
4. Nasikia mechi za usiku kunakuwa na tabia za wizi sana je ni kweli?
Na ushauri gan unaweza nipa
Shukrani