DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Moderator naomba msifute huu Uzi Wangu
Nimepata uchungu mkubwa Sana
Hadi kichwa kinauma pamoja na kumeza Panadol kumi kwa siku lakini holaaa!!!
Je hii Ndege Ingebeba Viongozi wa nchi mmegetumia mbinu hizi hizi za uokoaji wa kamba!!!
Nimepandwa na Hasira Hadi pressure hipo Juu inasoma 190/90
Achilia mbali Maumivu makali ya kichwa yanayonikabili.
Ndugu zangu wamekufa kwa uzembe wa watu fulani.
Tuacheni siasa Katika roho za watu
see you again my homies
we shall meet again
Nimepata uchungu mkubwa Sana
Hadi kichwa kinauma pamoja na kumeza Panadol kumi kwa siku lakini holaaa!!!
Je hii Ndege Ingebeba Viongozi wa nchi mmegetumia mbinu hizi hizi za uokoaji wa kamba!!!
Nimepandwa na Hasira Hadi pressure hipo Juu inasoma 190/90
Achilia mbali Maumivu makali ya kichwa yanayonikabili.
Ndugu zangu wamekufa kwa uzembe wa watu fulani.
Tuacheni siasa Katika roho za watu
see you again my homies
we shall meet again