Naomba Viongozi wa huu mtandao mnifungie account yangu kwa kipindi Cha mwaka mzima ili nifanye maombolezo.

Naomba Viongozi wa huu mtandao mnifungie account yangu kwa kipindi Cha mwaka mzima ili nifanye maombolezo.

We ulisikia wapi? ndege inavutwa na mtumbwi na wavuvi....... wajesh wako wanaogopa kulowa.
Uzoefu mzee si unakumbuka ile lori ilipodumbukia wami jeshi ,zimamoto
Walichemka kuingia chini ya maji
Ilibidi jamaa mmj diver kienyeji anaitwa Ali buheti ndy alizama chini
Ya maji na kuifunga kamba ili waitoe
Ali buheti ni mtoto wa kiwangwa pale,diver mzuri tu

Ova
 
Uzoefu mzee si unakumbuka ile lori ilipodumbukia wami jeshi ,zimamoto
Walichemka kuingia chini ya maji
Ilibidi jamaa mmj diver kienyeji anaitwa Ali buheti ndy alizama chini
Ya maji na kuifunga kamba ili waitoe
Ali buheti ni mtoto wa kiwangwa pale,diver mzuri tu

Ova
Ile ajali acha tu jamaa alikuwa anaisimamia breki lakini hola ilikuwa ishafeli dogo wa pembeni anamuliza bro vp hajibu anaisimamia tu RIP.
 
Pole na msiba mleta mada

Ila sasa ukishatoka si kutakuwa na pengo la chawa wa bi tozo.

Kutwa wewe kusifia kazi zake na nzuri, kumtukana Magufuli.

Mungu adhihakiwi, mnaletewa mtu wa kusaidia wanyonge apambane na mafedhuli yasiyojali maisha ya watanzania wa kawaida kutwa mnamtukana hayati.

“Ipo siku mtanikumbuka kwa mazuri yangu” JPM.
 
Hii nchi ina mambo mengi mno.

Baada ya kushuhudia awamu ya tano ikiitwa ya sita kwa nguvu bila hata kufanya uchaguzi.

Sasa tunashuhudia ndege ikivutwa kwa kamba.
 
CCM ni laana ktk nchi hii ndugu yangu...
 
Back
Top Bottom