JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Kati ya mambo yanatufanya tuwe na uelewa mdogo ni kuona viongozi wanajipendekeza kupita kiasi.
Viongozi wasitumie maneno yafuatayo inapokopa.
1. Serikali ya Samia imekopa.
2. Rais amekopa.
Badaya yake watumie neno lifatalo ili kuleta ufanisi.
1. Nchi imekopa.
Viongozi wasitumie maneno yafuatayo inapokopa.
1. Serikali ya Samia imekopa.
2. Rais amekopa.
Badaya yake watumie neno lifatalo ili kuleta ufanisi.
1. Nchi imekopa.