Naomba watanzania tumsaidie Ray C tumchangie

Naomba watanzania tumsaidie Ray C tumchangie

Kuna kitu kimoja wasanii wa Kitanzania haswa wale ambao ni maarufu na waliofanikiwa katika kazi zao za sanaa huwa hawakifanyi, nacho ni KUTOA kwa jamii (CHARITY). Huwaza sana maisha yao binafsi pale wanapopata breakthrough na kusahau kuwa pasipo VIINGILIO vya Watanzania, wao wasingekua hapo walipo kifedha.

Sasa kwa dhana hiyo leo hii mimi ukiniambia nimchangie RAY C sikuelewi, huyu mtu nimchangie mara ngapi?? Kama ni viingilio vya show zake nilitoa sana, Tapes, CD, DVD zake ninazo kila album(kumbuka hapa huwa tunanunua pia)...
Mwisho wa siku hivi ndivyo anavyowalipa wapenzi, mashabiki na maswaiba wake...

...........................................Hii haikubaliki, hii haiwezekani..............................
Tenda wema nenda zako usingoje shukurani...Kwa hiyo kama huyu dada akifa utapata faida gani?? na hizo pesa hata usipotoa na zikaishia kwenye serengeti nayo ni faida gani?
TUSIHUKUMU JAMANI...Inawezekana ndio mafundisho haya anapewa kwa jinsi hii na siku nyingine naye atakuwa msamaria mwema
 
Nilimsikia mama yake akitaja no za cmu clouds fm bt ckuwezazinote,sielewi kwann wasanii hawafanyi fundraising kumchangia pesa za matibabu,huu ubaguzi unachangia kurudisha maendeleo nyuma hapa tz! Imagine mtu anatoa 10 mil kama rambirambi kwa sm1 ambaye ni marehemu ila aliye hai hachangiwi, ama kwasababu ray c hawezi wapa political fame and capital? so sad

Wanasubiri afe ili wachangie maiti kwa pesa nyingi, hujui mtu akichangia maiti anapewa promo kuliko aliye changia mgonjwa au mtu mwenye shida?
 
Kama ni msaada kuna watanzania wengi wa maana wanaouhitaji kuliko huyu limbukeni aliyejitafutia mauti. Mie hata kwa viboko siwezi kushauri acha kutoa kumsaidia limbukeni aliyejisahau kwa usupastaa uchwara. Heri wapungue lau vijana wengine ambao hawajaharibika wajifunze. Sina huruma na watu wasiotumia akili hata kidogo ingawa Ray C ni mwanangu kama wengine. I am such a stern father so to speak.

Naunga mkono kwani mama yake ana uwezo mzuri tu shangazi DC wilaya mbili......wajishike......
Kama ni msaada tumpe mtoto wa leo ITV ana shida ya njia ya haja kubwa na sasa anajisaidia kwa utumbo kutolewa nje na anahitaji surgery...baba yake kafariki na mama hana uwezo.

Huyu Rehema Chalamira ana kwao safi kabisa ila ni majinuni asiyetaka kujua umuhimu wa mama yake mzazi ......msaada wa kweli upo kwa mzazi wake ila kwa kuwa ni much know muache aonje joto ya jiwe
 
I think we need a different approach.....

Haiwezekani kama binadamu tuwe tumefikia hapo....

Babu DC!!
 
I think we need a different approach.....

Haiwezekani kama binadamu tuwe tumefikia hapo....

Babu DC!!

I think they need a different approach.........

Haiwezekani kama vioo vya jamii wawe wamefikia hapo......

OleSaidimu TZ
 
People die like every day!!!!!!!!!! with Malaria, Typhoid, Uchawi n other staffs. They die because they are poor and didnt have a choice. Ray C HAD A SHOT IN LIFE!!!!!!! MMESAHAU ALIVOTUNYANYASA NA GRAND VITARA LAKE!!!!!!! Damn!!! Ray C alikuwa NOMAAAAAAAAAA!!!!!!!!! Wapi bwana wake wa Bank!!!!!!!! Maisha haya acheni tu!!!!!!!! RAY C HATA AKIFA (MUNGU MUIPUSHIE MBALI) ILA KATEKETEZA BATAAAAAAA!!!!!!!!!! HAPANA CHEZEYAAAA!!!!!!!! SHE HAD A SHOT IN LIFE, SHE CAN NEVER BLAME GOD!!!!!!!!!!
 
Shosti nawe uhv that kind of perception? Yes she had her tmy and called the shots! Thats in the past. anahitaj msaada wetu kama watanzania, kumlaumu na kumnanga hakusaidii lolote, people we need 2 change, tusilipe baya kwa baya!!
People die like every day!!!!!!!!!! with Malaria, Typhoid, Uchawi n other staffs. They die because they are poor and didnt have a choice. Ray C HAD A SHOT IN LIFE!!!!!!! MMESAHAU ALIVOTUNYANYASA NA GRAND VITARA LAKE!!!!!!! Damn!!! Ray C alikuwa NOMAAAAAAAAAA!!!!!!!!! Wapi bwana wake wa Bank!!!!!!!! Maisha haya acheni tu!!!!!!!! RAY C HATA AKIFA (MUNGU MUIPUSHIE MBALI) ILA KATEKETEZA BATAAAAAAA!!!!!!!!!! HAPANA CHEZEYAAAA!!!!!!!! SHE HAD A SHOT IN LIFE, SHE CAN NEVER BLAME GOD!!!!!!!!!!
 
Tenda wema nenda zako usingoje shukurani...Kwa hiyo kama huyu dada akifa utapata faida gani?? na hizo pesa hata usipotoa na zikaishia kwenye serengeti nayo ni faida gani?
TUSIHUKUMU JAMANI...Inawezekana ndio mafundisho haya anapewa kwa jinsi hii na siku nyingine naye atakuwa msamaria mwema

Ni kweli "wema hauozi", lakini yanayomkuta RAY C yawe fundisho kwa wasanii wenzake ambao vichwa huwa vinawavimba wakati wa mafanikio na husahau ku-give back kwa wanaowawezesha...nakuambia hivi, laiti kama huyu dada angekuwa karibu na jamii ya wasiojiweza wakati wa mafaniko yake, hakika leo hii kila mtu angependa kujitolea kumsaidia.
 
Shosti nawe uhv that kind of perception? Yes she had her tmy and called the shots! Thats in the past. anahitaj msaada wetu kama watanzania, kumlaumu na kumnanga hakusaidii lolote, people we need 2 change, tusilipe baya kwa baya!!

Mi sijamnanga wajameni unanionea tu!!! MI NIMEKUMBUKA THE BEST TIME OF HER LIFE!!!!!!!(Jst my baisc instincts of looking the best of people no mtter how bad the situation is!!!!!!!!!!!! Ciello mi naishi kinondoni TRUST ME HAKUNA TEJA ANAEACHA!!!!!!! I GUESS TUSHAOZEA KUPOTEZA WATU MAY BE NDO MAANA SIONESHI MUCH REMORSE!!!!!!!!!!

Kila lakheri wajameni kwa kumponya!!!!!!!!
 
Sikuwahi kusikia redioni wakati mama yake anaongea, msaada unahitajika kwa ajili ya nini, matibabu? Habari tulizosikia kuwa hata huko rehab hakukaa si za kweli? Kwa hiyo mchango ni wa kumrudisha rehab?

Tatizo hili limekuwa kubwa, labda tu kwa sababu wengine hawana wa kuwasemea kwenye vyombo vya habari, sasa hao nao wasaidiweje?
 
Ni kweli "wema hauozi", lakini yanayomkuta RAY C yawe fundisho kwa wasanii wenzake ambao vichwa huwa vinawavimba wakati wa mafanikio na husahau ku-give back kwa wanaowawezesha...nakuambia hivi, laiti kama huyu dada angekuwa karibu na jamii ya wasiojiweza wakati wa mafaniko yake, hakika leo hii kila mtu angependa kujitolea kumsaidia.

WASANII 70% MATEJA!!!!!!!!!! Sasa pesa si zitatuishia kuchangaaaa!!!!!!!!!
1. Lord Macho
2. Daz Mama
3. Blue Green
4. Man Dojooo
5. Tido
6.Q chipower windows
7. Langaa
8.Mangwei
NIMECHOKA TU KUANDIKA!!!!! ILA WAPO WENGI SANAAAAAAAAAA!!!!!!!!!
 
DIAMOND UMESIKIA? Huko mnakoelekea na vijisenti mtajajikojolea sana, Ray C amtafute Fresh Jumbe na Mwisho Mwampamba ndo walikuwa wanamalizana kivyao.
 
solution sio kumsaidia ray c bali iwe kuwamaliza wauza poda na kusaidia mateja in general
 
WASANII 70% MATEJA!!!!!!!!!! Sasa pesa si zitatuishia kuchangaaaa!!!!!!!!!
1. Lord Macho
2. Daz Mama
3. Blue Green
4. Man Dojooo
5. Tido
6.Q chipower windows
7. Langaa
8.Mangwei
NIMECHOKA TU KUANDIKA!!!!! ILA WAPO WENGI SANAAAAAAAAAA!!!!!!!!!

huyu kafanya rehab.. yupo clean sasa, hivi kuna mdada alikuwa na mashauzi na kiburi kama RAY C jamani, kwa waliosoma Makongo nadhani wanaelewa nyodo z ahuyo kimwana tokea enzi hizooo...kweli dunia tambara bovu
 
Mimi personal nipo tayari kumchangia Ray c .Agent wake ni nani?.mtu anaeaminika afungue account tumchangia.She needs help .mimi personal nipo tayari

Uko tayari kumchangia kitu gani? Kuna msaada wowote ameomba? funguka please...
 
wakati yupo superstar sikuwaona hata sikumoja mkatuambia wana jf kiingilio kitapungua, sinashaka hata tulikua tukimkaribia mnamlinda na kumuona yupo juu, leo yamewafika mnatapatapa. Wabongo bana, wale watu wake wakaribu walikuanae si wamchangie. nini kinawashindeni wakati mliweza kufanya part za hapa na pale mara Amsterdam mara Dubai, shame on you all.
 
Hatuna roho mbaya, tunasema ukweli. Kuna mitoto mijinga inaishi kwa illusions na hii ndio hatma. Kama kuchanga kuna watu wangapi wanatangazwa ITV kwa shida mbali mbali tusiwachangie tuje kumchangia mtu aliyekula miunga kwa starehe na kiburi cha vijihela vya kuonesha maungo yake.

Nawaacha wafu muwazike wafu wenu, mimi nijaliwapo nitamchangia mwenye mahitaji na sio mwenye kujitakia. Huyu aliyeanzisha hii topic sina shaka na yeye ni wa trend hiyo hiyo. Endeleeni kuweka mapaja nje mkijiona mmefika bila kujua hatma ya maisha yenu mnayojiwekea.

Kama michango, kachukueni kwa wanaowauzia hiyo midawa, au mnajifanya hamuwajui?

mistakes ni part ya maisha Mate .. mimi naweza nikafanya jambo alafu .. I just can't help asking myself some times : "what did I learn in this whole year? What did I get from my work and my life out of this thing ? Did I change? Did I want to change? Did I want to be changed?" Such stupid questions sometimes are very helpful yawezekana huyu bint kajiuliza hayo maswali and she deserves a 2nd chance ... muhimu ni kwamba anaonyesha "majuto" mtu mwenye kujuta akarudi akawa perfect ningumu kurudi kwenye zile enzi ....

kumbuka hakuna aliye 100% perfect chini ya jua ...

 
WASANII 70% MATEJA!!!!!!!!!! Sasa pesa si zitatuishia kuchangaaaa!!!!!!!!!
1. Lord Macho
2. Daz Mama
3. Blue Green
4. Man Dojooo
5. Tido
6.Q chipower windows
7. Langaa
8.Mangwei
NIMECHOKA TU KUANDIKA!!!!! ILA WAPO WENGI SANAAAAAAAAAA!!!!!!!!!

Langa ameshafanikiwa kujitoa kwenye hili kundi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom