Naombe tafsiri ya hiyo ndoto. nitafanyaje?

Naombe tafsiri ya hiyo ndoto. nitafanyaje?

Jitahidi tu kuwa na Amani ila uwe makini kwenye Biashara yako,uangalie ni vitu gani unavifanya ambavyo vinaweza kupelekea Biashara yako kuyumba au Upande wa nguvu za giza hizo siamini sana ila ujitahidi kuongeza imani yako kwa kumuomba Mungu sana.
Sawa
Kwa uelewa wangu nyoka na mbwa hawana maana nzuri ktk ndoto hata ktk vitabu vya dini kiumbe nyoka anaelezwa ki ubaya hvo basi, kuwa makini sana na mtu yoyote utakaye mpa kazi au kijana wako maana inaonesha kuna ubaya unataka kuingia ktk kazi yako na huo ubaya unatoka nje, kama huja mueka mtu basi usifanye hvo futa kabisa huo mpango na akija mtu ana taka kazi kuwa makini au usimpe kabisa, nyoka- ubaya /shetani according to holy book
Note :mimi siyo mganga wala mtabiri , nimetafsiri ndoto tu, be careful ndugu
Asante mkuu..umenifungua
 
Pia ulipaswa umuue au umzuie kama aifanikiwa kabisa kuingia ndani kuwa makini yaani usikute unaye au pia angalia vizuri afya yako all in all kuwa makini mkuu kila la kheri
Asante kwa ushauri
 
Hapo vip!!

Kama kawaida binadamu huota ndoto mbali mbali lakini hii imetisha kidogo..

Leo nimeota nimesimama nje ya biashara yangu karibia na mlangoni..mara nikamuona nyoka anaingia ndani ya biashara yangu...kiukweli baadaya kushtuka usingizini nimekosa amani sana...

Nina imani humu kunawataalam mbali mbali..naombe tafsiri ya hiyo ndoto..na nitafanyaje..
Nyoka maana yake ni roho ya uchawi.
Kifupi ni kuwa kuna mtu ameamua aloge biashara yako usifanikiwe wala usipate wateja..

Ushauri

nenda kwenye maombi pia uwe unatoa fungu la kumi.
 
Ni pm nikupe mbinu Kama wewe ni mkatoliki hutajuta.
 
Back
Top Bottom