KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
kweli ulikuwa kijijini mi ni mchumba wako sio boss..😅Ndio nimerudi, nlikua huko vijijini ndan ndani boss wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli ulikuwa kijijini mi ni mchumba wako sio boss..😅Ndio nimerudi, nlikua huko vijijini ndan ndani boss wangu
Achana nae,kwanza siku hz dawa za kuroga nyingi hazifanyi kazi na nyingi ni fekiNisubirie Matokeo
Ongea naye mtaelewana tu,usimkwepe ongea nae utajua kwanini na kwa sababu gani.Habar zenu wakuu,poleen na Mvua na Baridi.
Naomben Ushauri hapa ;Kuna Dem Nmemuacha Ila Kakatalia Nguo yangu anadai kuwa Ety Ni Kumbukumbu kwake.
Mbona sioni pete kidoleni my wangu?kweli ulikuwa kijijini mi ni mchumba wako sio boss..😅
Mzeya na wewe ujenge tabia ya kubaki nanchupi za mwanamke unayemgegeda....wajinga hawa wanaturoga sana ndio maana mie nabaki nanchupi zao nami nae da kilingeni kwa Mshana JrHabar zenu wakuu,poleen na Mvua na Baridi.
Naomben Ushauri hapa ;Kuna Dem Nmemuacha Ila Kakatalia Nguo yangu anadai kuwa Ety Ni Kumbukumbu kwake.
Usirudie wengine ni ma introvert wasije wakajiua😀 😀 😀nimeacha mie
itakuwa wanakijiji walikuvua hivyo ninamtihani wakuanza kukutongoza upya na ulivyo libishi utakubali kweli...?🤣Mbona sioni pete kidoleni my wangu?
Haiui nyoka 😂Kwamba? 😀 😀 😀 😀
Wanawake wanaloga haoooInategemea na nguo gani. Kama ni jezi huwa hazirudishwi. Ndio maana unakuta tuna jezi za timu zote za england , spain na ujerumani😂😂. Ila kama ni boxa kitampata kitu😂
una experience yakutosha yani England, Spain na ujerumani bado na boxer halafu bado hutajaja timu za nyumbani!!.. nilikuwa nampango wakukutongoza lkn kwa haya sitaki uvae jezi yangu ya Madrid...🤣🤣Inategemea na nguo gani. Kama ni jezi huwa hazirudishwi. Ndio maana unakuta tuna jezi za timu zote za england , spain na ujerumani😂😂. Ila kama ni boxa kitampata kitu😂
Mkimuona mbwa mpya mtaani kwenu tafadhari sana msimpige maweHabar zenu wakuu,poleen na Mvua na Baridi.
Naomben Ushauri hapa ;Kuna Dem Nmemuacha Ila Kakatalia Nguo yangu anadai kuwa Ety Ni Kumbukumbu kwake.
😂😂😂😂kukubali hapo ndio sijui, unajijua mwenyewe ulivyo muongo muongoitakuwa wanakijiji walikuvua hivyo ninamtihani wakuanza kukutongoza upya na ulivyo libishi utakubali kweli...?🤣
😂😂😂Haiui nyoka 😂
Kunimis animis yeye alafu nauli ya kuifata nitume mimi, nikituma na yakutolea ikaliwa ?