Naombeni aina ya adhabu nje ya kumchapa viboko Mtoto 'Mtukutu' wa kati ya Miaka 7 hadi 9 tu

Ok ,
Nimekusoma.
Nakusubiria Mirembe Dom au Kidongochekundu Unguja.
Endelea Kupuliza kwa bidii huo Msuba.

Hayo maeneo yote Mawili uliyoyataja hapa wataanza Kwanza kutangulia Kwenda huko Shangazi na Wajomba zako kisha Mimi nitakuwa wa mwisho.
 
.peleke mwanao kwa yule golkipa wa simba anaemchezeaga vizuri bashite.
 
Nadhani hii ni adahabu nzuri zaidi[emoji1312]
 
Huna haki kumwadhibu huyo mtoto wa dada’ko, siku baba’ke (mlamu) akigundua utakuja kulialia humu.... subiri ukiwa mzazi utajua tu kulea.
 
Unamwambia aote jua na moto kwa pamoja wakati was mchana

Kama unakunywa gongo uwe unamiminia hata jet moja wkt wa mechi yanga or simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…