The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Mkuu niweke link ya hii App, maana nimejaribu kuingia playstore but siioni.. iliyopo ni kama tofauti na hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu niweke link ya hii App, maana nimejaribu kuingia playstore but siioni.. iliyopo ni kama tofauti na hii
Hawa saivi unawapata kwenye hesgoal tv unaangalia mechi fresh tu hata jana niliangalia huko. Ila kwa zamani kule hawaweki tena live stream ni habari tu
Mkuu, kwann hizi APK kutoka google (unknown sources) ukitaka kudownload Kuna ujumbe unakuja na Kusema App may be to harmful your phone.. hapa pananitia mashaka sana.. yaaan kudhuru Simu kivipi na kama ni hvyo ni njia gani sahihi ya kuondoka hyo kitu kisitokee..?![]()
Tuyajengedownload DStv Now nikupe email na password ila utanitoa hata ela ya bia tatu
Nadhani haina shida maana app za namna hii nimekuwa nazitumia lakin sijawahi kupata madhara kwenye simu yanguMkuu, kwann hizi APK kutoka google (unknown sources) ukitaka kudownload Kuna ujumbe unakuja na Kusema App may be to harmful your phone.. hapa pananitia mashaka sana.. yaaan kudhuru Simu kivipi na kama ni hvyo ni njia gani sahihi ya kuondoka hyo kitu kisitokee..?
Uliangalia ligi gani hesgoal mkuu?Hawa saivi unawaata kwenye hesgoal tv unaangalia mechi fresh tu hata jana niliangalia huko. Ila kwa zamani kule hawaweki tena live stream ni habari tu
Mechi ya real Madrid vs chelsea ni uefa champions league jana usiku. Ila ninapokaa mtandao upo slow sana hivyo ilikuwa ina nasa nasa nikabidi nitumie live football tv euro haikuwa ina nasa nasa. Kumbuka sio hesgoal bali ni hesgoal tv. Zamani tulikuwa tunaangalia kwenye hesgoal ila hawaoneshi wanaonesha kwenye hesgoal tv
HesgoalTv basi sawa mkuuMechi ya real Madrid vs chelsea ni uefa champions league jana usiku. Ila ninapokaa mtandao upo slow sana hivyo ilikuwa ina nasa nasa nikabidi nitumie live football tv euro haikuwa ina nasa nasa. Kumbuka sio hesgoal bali ni hesgoal tv. Zamani tulikuwa tunaangalia kwenye hesgoal ila hawaoneshi wanaonesha kwenye hesgoal tv
Mkuu bihashara bado ipo tuyajengedownload DStv Now nikupe email na password ila utanitoa hata ela ya bia tatu