Naombeni code za hii ndoto

Hamna ishu ni ndoto tu imani hizi aisee zimetuharibu sana
 
Wenye majina ya Mary wanakuwaga watata watata sana na asilimia kubwa hawawezagi kuishi na Mwanaume.😅😅😅
Mi naishi nae kitaalamu siku nkiona kirusi chcht hatokaa aniskie karibu yake hivyo tu..japo ntaumia
 
Nami naomba msaada,nimeoa mwaka 2012 naish na wife vizuri japo kutofautiana mara moja moja huwa hakuepukiki. Sasa tokea nimuoe tokea muda huo kila mwaka mara mbili hadi tatu lazima niote kuwa amenusalit na ameniacha.Hiyo ndoto huwa inaumiza sana ,je hiyo ndoto inaweza kuwa na maana gani?
 
Sema kaota Tena ndoto nyingine,usiku wa kuamkia leo
 

Attachments

  • Screenshot_20230421-202029.png
    26.2 KB · Views: 3
Unamuwaza Sana mzee..mwambie aache tabia au mienendo inayokufanya ukose amani

Mpotezee Fulani hivii
 
Usharogwa kaa mkao wa kuelekea kibra,
 
Unataka msaada gani ?

Kututoa hiyo ndoto?

Huu ni uboya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…