Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watakupotezea muda wako mtafute huyu dogo hapo pichani akupe ABCNashukuru sana Mkuu I hope atanisaidia
Huyo Dada ni mimilicious au??Hao watakupotezea muda wako mtafute huyu dogo hapo pichani akupe ABC
Huyo ndio kunguni nambari wani humu jf kule x mtafute dada kitufe mwili gorofa ndio anaratibu mchongo huko Hila # Moja per day ikitembea vizuri unapigwa 20k
Huyo huyo mkaliHuyo Dada ni mimilicious au??
Mara ya mwisho kupiga kipara lini?Wakuu habari zenu
Kama Title inavyojieleza naombeni mwenye connection ya kazi ya kupush hashtag au kusukuma reli anisaidie
Hali ni ngumu sana tunapigana but nothing kwahiyo kama una connection na hiko kitu hapo juu nisaidie PM iko wazi
Elimu kidato cha 6
Now niko chuo
Nina akaunti X(twitter)yenye followers wa kutosha,fb,Instagram
Niwatakie siku njema
Mungu awabariki sana
Hahahaaa.Wanawabania wenzao lakini wao wenyewe wanazitaka connection.watu mnasiri kumbe kunaajira mpya mjini ya kupusha hashtag hatuambizani
Una nyashWakuu habari zenu
Kama Title inavyojieleza naombeni mwenye connection ya kazi ya kupush hashtag au kusukuma reli anisaidie
Hali ni ngumu sana tunapigana but nothing kwahiyo kama una connection na hiko kitu hapo juu nisaidie PM iko wazi
Elimu kidato cha 6
Now niko chuo
Nina akaunti X(twitter)yenye followers wa kutosha,fb,Instagram
Niwatakie siku njema
Mungu awabariki sana
I need your nyas cause I am mixxed by yasAcha uchok*
Mixxed by your nyashKilazaspecial