Naombeni Connection ya Kibarua Ndugu zangu I

Babasukh

Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
5
Reaction score
4
Habari za Mwezi February wana-JF.!!

Ndugu yenu Nina changamoto ya Kodi, chakula (kwa mtoto na Ndugu zangu tegemezi na kwangu binafsi).

Naombeni mwenye kuweza kunisaidia kupata kibarua cha namna yoyote Ile; Muhimu kiendane na mapenzi ya MUNGU.

Nitashukuru nikipata Msaada .
✅Nina elimu ya kidato cha sita EGM (Sio kipaumbele kwangu)
✅Naishi Dar es salaam

Mbarikiwe Taifa la Mungu🙏
 
Nguvu zipo za kutosha?

Kama jibu ni ndio..tukutane kesho buguruni kwa bakhresa
Muda gani Mkuu
Barikiwa sana
 
Kigezo ni lazima awe Female.

Shukrani kwa kuonesha kujali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…