Naombeni darasa kuhusu hii mifumo ya simu ya sasa na zamani

Naombeni darasa kuhusu hii mifumo ya simu ya sasa na zamani

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
1,503
Reaction score
2,426
Mambo vipi wakuu hapa juzi Kati nilinunua simu ya redmi used note 12 5g ushauri alinipa mkuu Chief-Mkwawa
hii simu nimeuza baada ya mwama mmoja kuja na dau kubwa zaidi ya lile nililo nunulia.

Sasa kivumbi kipo hapa ambapo nimetoka kapa na nahitaji darasa kubwa Tu na wadau wengine pia watapata darasa
Nilita kununua oppo f11 ni ya mwaka 2019 sio ishu Sana kwangu japo ya muda
Nime stop Kwanza baada ya kutaka kujua ishu za procceser na cpu nimeona mitandaoni zinajadiliwa Sana hasa quora huko
Hii simu ina
mediatek6771 helio P70
core A75 n.k picha Kwa usaidiz chini
IMG_20240530_171553.jpg
sasa ishu ni kwamba iyo helio P70 ni nzuri? Lakini pia ina
cortex A73 kama inavyo onekana hapo vipi inafaa na je ina nguvu kwenye simu? Iyo ni oppo f11

Tuje hapa kuna hii sijaijua system yake ipoje nimeona kwenye simu moja ya Vivo y27s
IMG_20240530_172636.jpg
ishu ipo hapa nimezoea izo Ghelio na P hapa imekua tofauti core kuna ghz kryo 265 gold & GHz kryo 265 silver n.k hapo nimetoka kapa system ya hivi sijui ni ipi inafaa au ina nguvu gani kwenye simu

Kuna Vivo y27 ina helio G85 na cortex A73 hii nayo vipi ?
Screenshot_2024-05-30-17-47-54-87.jpg

Pia ningeomba wadau mtujuze tusiojua kwamba ili angalau simu iwe faster na kuendana mifumo ya simu ya sasa inaanzia cortex ngapi? Na helio ngapi? Kuliko kwenda kuvamia vamia Tu simu ujui kama ita sapoti system za sasa au vipi wakuu naombeni darasa hapa kiongozi
Chief-Mkwawa na wengine ambao Wana fahamu shukrani.
 
Mambo vipi wakuu hapa juzi Kati nilinunua simu ya redmi used note 12 5g ushauri alinipa mkuu Chief-Mkwawa
hii simu nimeuza baada ya mwama mmoja kuja na dau kubwa zaidi ya lile nililo nunulia.

Sasa kivumbi kipo hapa ambapo nimetoka kapa na nahitaji darasa kubwa Tu na wadau wengine pia watapata darasa
Nilita kununua oppo f11 ni ya mwaka 2019 sio ishu Sana kwangu japo ya muda
Nime stop Kwanza baada ya kutaka kujua ishu za procceser na cpu nimeona mitandaoni zinajadiliwa Sana hasa quora huko
Hii simu ina
mediatek6771 helio P70
core A75 n.k picha Kwa usaidiz chini View attachment 3003879sasa ishu ni kwamba iyo helio P70 ni nzuri? Lakini pia ina
cortex A73 kama inavyo onekana hapo vipi inafaa na je ina nguvu kwenye simu? Iyo ni oppo f11

Tuje hapa kuna hii sijaijua system yake ipoje nimeona kwenye simu moja ya Vivo y27s View attachment 3003917ishu ipo hapa nimezoea izo Ghelio na P hapa imekua tofauti core kuna ghz kryo 265 gold & GHz kryo 265 silver n.k hapo nimetoka kapa system ya hivi sijui ni ipi inafaa au ina nguvu gani kwenye simu

Kuna Vivo y27 ina helio G85 na cortex A73 hii nayo vipi ?View attachment 3003932
Pia ningeomba wadau mtujuze tusiojua kwamba ili angalau simu iwe faster na kuendana mifumo ya simu ya sasa inaanzia cortex ngapi? Na helio ngapi? Kuliko kwenda kuvamia vamia Tu simu ujui kama ita sapoti system za sasa au vipi wakuu naombeni darasa hapa kiongozi
Chief-Mkwawa na wengine ambao Wana fahamu shukrani.
Simu zote hizo unadowngrade mkuu tokea Note 12 5G, unless unataka simu ya bei rahisi zaidi hazina issue hizo.

Ideal kwa budget zetu hizi cortex A78 ni nzuri zaidi ila ukikosa kabisa angalau cortex A76.

Unapata Cortex A76 kwenye Helio G99, G96, G95, Dimensity 700, 810 etc ama snapdragon 720G, 730 na 732G.

Hio A78 unaipata kwenye snapdragon 4 Gen 1, 4 gen 2, 695, 778G, 6 gen 1 na 7s gen 2 ama Dimensity 900, 920, 1080, 1100, 1200, 8100 etc
 
Du nimekuelewa mkuu Ila wabongo wengi ndio tunacheza humo sasa kama ni wwe oppo a31 na oppo f11 unaenda na ipi? iyo a31 ndio natumia ile ambay imegoma kweny Wi-Fi
na iyo f11 ndio nilitaka nichukue
 
Simu zote hizo unadowngrade mkuu tokea Note 12 5G, unless unataka simu ya bei rahisi zaidi hazina issue hizo.

Ideal kwa budget zetu hizi cortex A78 ni nzuri zaidi ila ukikosa kabisa angalau cortex A76.

Unapata Cortex A76 kwenye Helio G99, G96, G95, Dimensity 700, 810 etc ama snapdragon 720G, 730 na 732G.

Hio A78 unaipata kwenye snapdragon 4 Gen 1, 4 gen 2, 695, 778G, 6 gen 1 na 7s gen 2 ama Dimensity 900, 920, 1080, 1100, 1200, 8100 etc
Mkuu SPD 750G ikoje yenyewe iko poa hiyo
 
Back
Top Bottom