kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Naombeni elimu jinsi ya kupima shinikizo la damu
Nyumbani mzee wangu alinunua kifaa chake cha kupima presha
Siku moja Nikapima na mimi
Cha ajabu nikakuta shinikizo la damu kwangu lipo kwenye 151/77
Nakapima Tena mara ya pili likawa lipo kwenye 133/ 80
Sasa imekuwa tabia yangu ya kupima kila siku asubuhi na jioni
Kinacho ni Shangaza nikipima mara ya kwanza shinikizo la damu linakuwa liko juu nikitulia kama dakika 5 nikipima Tena linakuwa liko chini
Sasa na shindwa kuelewa nikubali lipi apo na je wanapima mara ngapi ili kudhibitisha kama una shinikizo au hauna
Nyumbani mzee wangu alinunua kifaa chake cha kupima presha
Siku moja Nikapima na mimi
Cha ajabu nikakuta shinikizo la damu kwangu lipo kwenye 151/77
Nakapima Tena mara ya pili likawa lipo kwenye 133/ 80
Sasa imekuwa tabia yangu ya kupima kila siku asubuhi na jioni
Kinacho ni Shangaza nikipima mara ya kwanza shinikizo la damu linakuwa liko juu nikitulia kama dakika 5 nikipima Tena linakuwa liko chini
Sasa na shindwa kuelewa nikubali lipi apo na je wanapima mara ngapi ili kudhibitisha kama una shinikizo au hauna