Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Ndugu wana Jf natumaini mko salama ndugu zangu.
Ndugu zangu katika vipindi vilivyopita ijulikane nilikua natafuta mke na Mwenyezi Mungu amenijalia nimepata mke na nimeoa.
Ndugu zangu mimi na huyu mke wangu tulikua tunatafuta mtoto katika siku zake tulizo amini ni siku za hatari ila cha ajabu mimba haijatunga na sasa kaona siku zake tena.
Nb; Hapo nyuma . Wakati tupo kwenye mahusiano miezi kadhaa kabla sijaamua kumweka ndani nilinza kufatilia mzunguko wake na ulikua kama ifuatavyo;-
i....Tarehe 28/5 aliingia kwenye siku zake na akamaliza tarehe 2/6
ii....mwingine uliingia tarehe 22/6 akamaliza 26/6
iii...pia aliingia mwingine ulifata tarehe 17/7 akamaliza 21/7 na huu nilikua nimesha muweka ndani ( huu mzunguko wa tarehe 17/7 nilikua teyari nimemuoa)
Hivyo tuliafikiana kutafuta mtoto na yeye aliridhia kwa dhati kubeba ujauzito
Tulianza kukutana kimwili
Tarehe 24-hadi28 , na tare 29-tukapumzika . Tukaendelea tena tarehe 30-31/7 na tarehe 1/ 8 tukakutana tena kimwili na siku zote hizo zilikua tunakutana usiku nikitoka kazini na nilikua na mwagia mbegu zangu ndani ili apate ujauzito tuwe na mtoto wetu
Cha ajabu leo tarehe 11/8 ameingia kwenye siku zake na hii ina ashiria ni kweli mimba haitunga maana pia baada ya week moja nilimpima mimba na akaonekana hana mimba japo alikua anahisi kichefuchefu sana, chuchu kuuma sana ukizishika , maziwa kujaa isivyo kawaida yake na wakati mwingine uchovu kupita kiasi, ila tukajisemea tusiamini vipimo ngoja tuone mzunguko wake kama utaonekana na kweli mzunguko umewadia.
katika kipindi hicho tulipo kua tunatafuta mtoto dawa alizo wahi kutumi ni
*Diclopa
*Amoxilin
*Paracetamol
Ndugu zangu..
Nipo hapa ndugu zangu kuomba hekima zenu na utaalamu kwa wanaojua
a) Najiuliza hii inawezekana vipi wakuu au ni mimi nilizidisha kipimo pale nilipokua nampanda ili abebe ujauzito?
b) Je, au ni hatukujua siku na saa exactly ya kukutana ili yeye atunge mimba , ?
c) kama jibu ni ndiyo katika kipengele (b) je ilipaswa tukutanaje na kwa utaratibu gani/ muda gani ili aweze kutunga mimba?
Natanguliza shukrani za dhati sana
Ndugu zangu katika vipindi vilivyopita ijulikane nilikua natafuta mke na Mwenyezi Mungu amenijalia nimepata mke na nimeoa.
Ndugu zangu mimi na huyu mke wangu tulikua tunatafuta mtoto katika siku zake tulizo amini ni siku za hatari ila cha ajabu mimba haijatunga na sasa kaona siku zake tena.
Nb; Hapo nyuma . Wakati tupo kwenye mahusiano miezi kadhaa kabla sijaamua kumweka ndani nilinza kufatilia mzunguko wake na ulikua kama ifuatavyo;-
i....Tarehe 28/5 aliingia kwenye siku zake na akamaliza tarehe 2/6
ii....mwingine uliingia tarehe 22/6 akamaliza 26/6
iii...pia aliingia mwingine ulifata tarehe 17/7 akamaliza 21/7 na huu nilikua nimesha muweka ndani ( huu mzunguko wa tarehe 17/7 nilikua teyari nimemuoa)
Hivyo tuliafikiana kutafuta mtoto na yeye aliridhia kwa dhati kubeba ujauzito
Tulianza kukutana kimwili
Tarehe 24-hadi28 , na tare 29-tukapumzika . Tukaendelea tena tarehe 30-31/7 na tarehe 1/ 8 tukakutana tena kimwili na siku zote hizo zilikua tunakutana usiku nikitoka kazini na nilikua na mwagia mbegu zangu ndani ili apate ujauzito tuwe na mtoto wetu
Cha ajabu leo tarehe 11/8 ameingia kwenye siku zake na hii ina ashiria ni kweli mimba haitunga maana pia baada ya week moja nilimpima mimba na akaonekana hana mimba japo alikua anahisi kichefuchefu sana, chuchu kuuma sana ukizishika , maziwa kujaa isivyo kawaida yake na wakati mwingine uchovu kupita kiasi, ila tukajisemea tusiamini vipimo ngoja tuone mzunguko wake kama utaonekana na kweli mzunguko umewadia.
katika kipindi hicho tulipo kua tunatafuta mtoto dawa alizo wahi kutumi ni
*Diclopa
*Amoxilin
*Paracetamol
Ndugu zangu..
Nipo hapa ndugu zangu kuomba hekima zenu na utaalamu kwa wanaojua
a) Najiuliza hii inawezekana vipi wakuu au ni mimi nilizidisha kipimo pale nilipokua nampanda ili abebe ujauzito?
b) Je, au ni hatukujua siku na saa exactly ya kukutana ili yeye atunge mimba , ?
c) kama jibu ni ndiyo katika kipengele (b) je ilipaswa tukutanaje na kwa utaratibu gani/ muda gani ili aweze kutunga mimba?
Natanguliza shukrani za dhati sana