dogo acha ujinga, yani mwezi mmoja tu unaleta mpaka andiko huku?
mdogo wangu pumzika, tulia na endelea na mishe zao, wewe na mkeo hamtafuti mtoto ila umeamua kukera tu watu hapa,

kikawaida ukimaliza mwaka na mkeo, na bado hajashika mimba inashauriwa uanze kufuatilia tatizo ni nini, pamoja na kwenda kucheki afya na vipimo vingine hospitali,

kuna watu ndoa zina miaka 5+ hawana watoto, wakiona andiko lako hili watashangaa sana
 
Mnatafuta mtoto wa nini ?
 
Write your reply...Bila kumung'unya maneno wewe utakuwa umefeli tu ... mpe uhuru mke wako akakumbane na marijali ni suala la muda tu utabembeleza mtoto !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…