Naombeni kazi Watanzania wenzangu

Naombeni kazi Watanzania wenzangu

Ngarumbe

New Member
Joined
Feb 4, 2023
Posts
1
Reaction score
0
Mimi ni msichana miaka 30. Naishi Tabata Segerea.

Nilikuwa cashier wa kampuni kwa miaka 3 likatokea tatizo nikaomba ruhusa kurudi kawekwa mtu mwingine.

Naombeni kazi ya duka kkoo sijajuwa utaratibu wa kupata kwenye yale maduka au kama kuna mtu anakazi naomba ntaifanya kwamoyo wangu wote.

Nipo charming, customer care ya hali ya juu hutajutia boss wangu.

Naomba mnisaidie nimekuwa mtu wa kushindandani mpaka naona dunia chungu nadaiwa laki 3 kila nikifikiria nakosa pa kuanzia nisaidieni please please.
 
Pole mkuu ila acha kushinda ndani. Tumia savings zako kuanzisha biashara ndogo.
Cha mwisho we ni mwanamke sio msichana kwa hiyo pambana. Kila la heri.
 
Hebu nicheck kwa namba 0679448434 maana PM yako imefungwa
 
Pole mkuu ila acha kushinda ndani. Tumia savings zako kuanzisha biashara ndogo.
Cha mwisho we ni mwanamke sio msichana kwa hiyo pambana. Kila la heri.
Anadaiwa laki 3 then boom mshauri umekuja na habari za savings.
 
Back
Top Bottom