Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Wewe kumbe hujaijua jf vizuri na member wake 😹😹😹Oya wadau hyu anaonekana mpya coz ni kam inamshnda kutumia
JF ni kichaka chenye wanyama wakali kaa kwa password
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kumbe hujaijua jf vizuri na member wake 😹😹😹Oya wadau hyu anaonekana mpya coz ni kam inamshnda kutumia
Hiyo bahati ipite huko tuu.Mkuu jaribu bahati yako 😹😹
Picha yako muhimu sana tanguliza picha na Namba yako ya simu Namba yako ni 071X XXX XXXHi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Ndo apo sasUlishawahi kuwa na I'd zamani?
Maana mpaka ku multiple quote unajua???
Kumekucha VAR zushaingia 😹😹😹Ulishawahi kuwa na I'd zamani?
Maana mpaka ku multiple quote unajua???
Naunga mkono hoja 🤣😁Umeisha puyanga tayari. WTF Jomon😏😏
Wewe tulia basi mpaka huku umefika aaaghMkuu jaribu bahati yako 😹😹
Ulishambuliwa na wanyama wakali 😹😹😹Hiyo bahati ipite huko tuu.
Uzoefu wangu hapa JF umenifunza mengi.
Acha uchawi basi, sijalala Mwanangu utaumia bureKumekucha VAR zushaingia 😹😹😹
Karibu sana, njoo inbox nikupatie document ya vigezo na masharti ili usije ukala ban.Hi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Hahaha jf huwaga sinaga mambo mengi mm ndo maanWewe kumbe hujaijua jf vizuri na member wake 😹😹😹
JF ni kichaka chenye wanyama wakali kaa kwa password
Nasubiri na wazee wa masijala 😹😹😹Acha uchawi basi, sijalala Mwanangu utaumia bure
don't take life too seriousHi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Masihara au Masijala?Nasubiri na wazee wa masijala 😹😹😹
Unaweza kwenda head on ukajua umepata dodo.Ulishambuliwa na wanyama wakali 😹😹😹
Najua huwezi kusema 😹😹😹Hahaha jf huwaga sinaga mambo mengi mm ndo maan
Illegal fishing 😹😹😹Usifungue nyuzi ovyo mapema hii, tulia uzoee jukwaa.
Ukikurupuka kuandika nyuzi saa hizi utakuja kujutia kwasababu HAZIFUTIKI.
Karibu sana mimi naitwa mshamba wewe unaitwa nani?
Tajiri wa chugaUsifungue nyuzi ovyo mapema hii, tulia uzoee jukwaa.
Ukikurupuka kuandika nyuzi saa hizi utakuja kujutia kwasababu HAZIFUTIKI.
Karibu sana mimi naitwa mshamba wewe unaitwa nani?