Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masijala wale wa kusema huyu ni fulani 😹😹😹Masihara au Masijala?
Au kamekimbia uzi wakeeee hhahNajua huwezi kusema 😹😹😹
😹😹😹 jaribu tuoneUnaweza kwenda head on ukajua umepata dodo.
Kumbe we mwenyewe ndio dodo.
Mimi huwa sijaribu, nikishaazimia naenda mazima.😹😹😹 jaribu tuone
Nilimwambia Mimi alafu asisahau kuweka Namba ni muhimu sana ili awe anapata direct notification za moja kwa mojaUsitukane watu hovyo humu utapigwa bannedView attachment 3044248
Nenda ukakutane na filimbiMimi huwa sijaribu, nikishaazimia naenda mazima.
Nenda basi utupe mrejesho 😹😹Mimi huwa sijaribu, nikishaazimia naenda mazima.
Siwezi kwenda kwa ID mpya.Nenda ukakutane na filimbi
Unaenda kwa ya ZamaniSiwezi kwenda kwa ID mpya.
Mama kijacho yule hakawii kuagiza maembe usiku huuUsimsahau na ephen_
. 😏😏Anajidadisha🤣 mental cases is real and alive. Hivi mnaonaga tunafaidi eeh?Naunga mkono hoja 🤣😁
Hahhh jaman majina ya umUsifungue nyuzi ovyo mapema hii, tulia uzoee jukwaa.
Ukikurupuka kuandika nyuzi saa hizi utakuja kujutia kwasababu HAZIFUTIKI.
Karibu sana mimi naitwa mshamba wewe unaitwa nani?
Unachotakiwa kujua ni kuwa wewe ni member mpya lakini unatakiwa kujua ilipo PM na mara moja tuma namba yako nikukamilishie usajili 😎😎😎Hi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .