Naombeni kujua Sheria mpya, Far Rabat imetolewa champions Ligue haitashiriki shirikisho

Naombeni kujua Sheria mpya, Far Rabat imetolewa champions Ligue haitashiriki shirikisho

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Nimesikia katika online TV moja kuwa timu ya Far Rabat ikinolewa na nabi kipara former kocha wa yanga , haitashiriki shirikisho kulingana na Sheria mpya , sote tunajua awali ilikuwa ilikuwa ukitolewa hatua hii unaangukia shirikisho kama ilivyokuwa Kwa yanga mwaka Jana.

Kwa anayejua atusaidie, pia hii itakuwa habari nzuri kwani Simba inayocheza Leo na power dynamo leo akifungwa anarudi nyumbani na hatashiriki michuano ya shirikisho hivyo nchi itatulia
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Back
Top Bottom