Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahitaji kutoa taarifa mbaya za hapo unapofanya kazi au unahitaji kuwa recruited kwenye taasisi husika ?Habari wadau ni utaratibu upi unatumika kuwapata Hawa watu( maafisa usalama katika ngazi mbalimbali)
Naihitaji hii kazi kwa namna yoyote ile na najua nitaitendea kazi kisawasawa
Mwenye kujua anipe mwongozo
Naihitaji kuwa recruited kwenye hii idaraUnahitaji kutoa taarifa mbaya za hapo unapofanya kazi au unahitaji kuwa recruited kwenye taasisi husika ?
Tafadhali nijibu asap ,kabla uzi haujaharibika
Kama ww ni ke nicheck chap nakuunganisha kama ww ni me andaa mtonyoHabari wadau ni utaratibu upi unatumika kuwapata Hawa watu( maafisa usalama katika ngazi mbalimbali)
Naihitaji hii kazi kwa namna yoyote ile na najua nitaitendea kazi kisawasawa
Mwenye kujua anipe mwongozo
DuuhFanya application hapo ukipata kasome utanishukuru siku ya kiamaNDC | Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania - Mwanzo
Chuo cha Taifa cha Ulinzi kilianzishwa mwaka 2011, NDC ndicho chuo kikuu cha mafunzo ya kimkakati na taasisi kuu ya mafunzo ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. | Chuo cha Taifa cha Ulinzi - Tanzania - Mwanzowww.ndctz.go.tz
Kutokujuwa tu utaratibu tayarí wewe upo out, hizo nafasi hazitangazwi, ni lazima uingizwe na mtu wa ndani ya idara.Habari wadau ni utaratibu upi unatumika kuwapata Hawa watu( maafisa usalama katika ngazi mbalimbali)
Naihitaji hii kazi kwa namna yoyote ile na najua nitaitendea kazi kisawasawa
Mwenye kujua anipe mwongozo