Naombeni majina ya nyimbo nzuri RC

Naombeni majina ya nyimbo nzuri RC

Naombeni wimbo wa vipaji wenye maneno haya....Tumtolee Mungu vipaji vya kumshukuru...Tumtimizie nadhili zetu Mungu aliye juu x 2

Sadaka ya Abraham alimtolea Mungu.........
 
Kuna wimbo wa kisukuma ningeupata roho yangu ingefuahi sana nilikuwa nausikia Mwanza sijui title ila sehemu ya chorus ni kama hivi "hostia, hostia, alemo Yesu..."
 
Naasi tumesadiki teena tumejuuwa yaakuwa wewee bwaana ndiwe mtakatifu wa mungu "

Natafuta wimbo huu ni wa Zaman kidogo hata jina nimelisahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna kwaya fulani iliimba wimbo
"hamuwezi hamuwezi kutumikia mabwana wawili, hamuwezi×3 kutumikia Mungu na mali" ya hapo dar japo kitambo ila nautafuta
Aisee nautafuta sana huu wimbo,pia kuna mwingine unaitwa Kosa ni la nani "kosa ni la nani watu tunauwana bila sababu"

Sent using Jamii Forums mobile app

kote hakufai
 
1.Sadaka yangu kwako eeh Mungu
Ni moyo mnyoofu na uliopondekaa
Tazama wapendezwa na kweli ya roho na we wanijulisha hekima kwa siri
Nioshe kabisa na uovu wangu na kinywa change kitanena sifa zako.

2. Nisiposema neno asante
3.Kristru jongea mezani kwa Bwana
4. Watu hawatalingana huu nautafuta sana.
 
Mi natafuta wimbo sijui jina lake ila baadhi ya maneNo yake ni kama ifuatavyo

"Ni kitu gani wewe mwanadamu unataka ufanyiwe na Mungu wako, tabia yako na mwenendo wako, Vitakuweka motoni milele"
 
1.Sadaka yangu kwako eeh Mungu
Ni moyo mnyoofu na uliopondekaa
Tazama wapendezwa na kweli ya roho na we wanijulisha hekima kwa siri
Nioshe kabisa na uovu wangu na kinywa change kitanena sifa zako.

2. Nisiposema neno asante
3.Kristru jongea mezani kwa Bwana
4. Watu hawatalingana huu nautafuta sana.
 

Attachments

Mimi naomba mwenye wimbo ule "ninaondoka ninakwenda kwa baba yangu,nakumwambia baba baba baba nimekosa juu ya mbingu na mbele yako" na mwingine maneno yake yanasema " nitarudi na kusema,baba yangu nisamehe, nimekosa kwa imani na mbele yako baba, nashiriki na nguruwe"

Wimbo wa WATUMISHI WAKE BABA ingia YouTube itafute hii Kwaya (ST. PAUL'S PRAISE & WORSHIP, UNI OF NAIROBI) alafu download video yake ni nzuri sana. Hapa nimeweka nyimbo 2 ila zimeimbwa na Kwaya tofauti.

Mwenye wimbo wa NITAONDOKA wenye kuchuja vizuri naomba atuwekee kwenye hii thread.



Watumishi Wake Baba Lyrics

Watumishi wake Baba wangapi waliopo,
Wanakula na kusaza chakula chake Baba.

Chorus:-
Nami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba


Baba ka - Baba kamwona yu mbali kashikwa na huruma
Akaki - Akakimbia kumlaki kamkumbata na busu

Chorus:-
Nami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba


Baba si - Baba sistahili tena kuitwa mwana wako
Unifa - Unifanye kama mmoja wa watumishi wako

Chorus:-
Nami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba


Baba ya - Baba yangu nimekosa ninaomba huruma
Unisa - Unisamehe nirudi nikakutumikie

Chorus:-
Nami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba


Unika - Unikaribisha mimi kwenye karamu yako
Meza I - Meza imeandaliwa inaningoja mimi

Chorus:-
Nami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba


Nasoge - Nasogea ninakuja ninakukimbilia
Mimi ni - Mimi ni mtoto mpotevu Baba unipokee

Chorus:-
Nami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba


Nimekula nimeshiba nakushukuru Baba
Chakula kama asali asante sana Baba

Chorus:-
Nami - Nami nataabika hapa
Nashi - Nashiriki na nguruwe
Chaku - Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nita - Nitarudi na kusema
Baba - Baba yangu nisamehe
Nime - Nimekosa kwake Mungu, na mbele yako Baba
 

Attachments

Mwenye wimbo wa TUMAINI LETU NI KWA BWANA naomba aniwekee kwenye ili jukwaa
 
Back
Top Bottom