Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation"

Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation"

Namshakende

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
671
Reaction score
1,644
Ndugu zangu,

Naomba msaada wenu. Mpenzi wangu, ambaye yuko mbali na mimi , alikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili.

Ijumaa iliyopita alienda hospitali akiwa ananyesha na kuambiwa kwamba mimba inataka kuharibika. Alipewa dawa, lakini baada ya kuitumia siku moja, mimba ilitoka.

Tangu Jumapili amekuwa na maumivu ya tumbo. Sasa kaniambia anahitaji kufanyiwa "Evacuation" na gharama yake ni laki tano. Naomba kujua, hii gharama ni ya kawaida?

Nina wasiwasi kwa sababu huyu binti sio mwaminifu linapokuja suala la pesa, na ni mtu ambaye anajifanya anajua kila kitu. Ingawa anasema amesoma afya, kuna vitu vingi havielewi.

Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation" kwa mimba ya umri huo na gharama yake( makadilio)

Asanteni
 
Ndugu zangu,

Naomba msaada wenu. Mpenzi wangu, ambaye yuko mbali na mimi , alikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili.

Ijumaa iliyopita alienda hospitali akiwa ananyesha na kuambiwa kwamba mimba inataka kuharibika. Alipewa dawa, lakini baada ya kuitumia siku moja, mimba ilitoka.

Tangu Jumapili amekuwa na maumivu ya tumbo. Sasa kaniambia anahitaji kufanyiwa "Evacuation" na gharama yake ni laki tano. Naomba kujua, hii gharama ni ya kawaida?

Nina wasiwasi kwa sababu huyu binti sio mwaminifu linapokuja suala la pesa, na ni mtu ambaye anajifanya anajua kila kitu. Ingawa anasema amesoma afya, kuna vitu vingi havielewi.

Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation" kwa mimba ya umri huo na gharama yake( makadilio)

Asanteni
Ni mke wako, au ni demu wako? Hata gharama ya C/S haipo hivyo
 
Yeye kila kitu anajifanya anafahamu! Hapa nimejichanganya kuna muda nawaza nakosa majibu. Nililazimika kumtolea posa kwasababu ya hiyo Mimba.
Ooooooh ngoja vijana wenzio waje waone hii comment,,yaan red signs zote unaziona ila unataka uweke ndani kabisa 🙌🏾
 
Back
Top Bottom