Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation"

Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation"

Mtoto alitaka atuunganishe, sasa imeshatokea hivyo. Nitampatia hela ya mtibabu na akishakuwa sawa napotea kama mzimu.
mdogo mdogo hakikisha chanzo cha kupotea kwako iwe kisababishi ni yeye na kwa ulivyosema mjanja mjanja redflag kibao sababu utaipata mapema kabisa.
 
Ndugu zangu,

Naomba msaada wenu. Mpenzi wangu, ambaye yuko mbali na mimi , alikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili.

Ijumaa iliyopita alienda hospitali akiwa ananyesha na kuambiwa kwamba mimba inataka kuharibika. Alipewa dawa, lakini baada ya kuitumia siku moja, mimba ilitoka.

Tangu Jumapili amekuwa na maumivu ya tumbo. Sasa kaniambia anahitaji kufanyiwa "Evacuation" na gharama yake ni laki tano. Naomba kujua, hii gharama ni ya kawaida?

Nina wasiwasi kwa sababu huyu binti sio mwaminifu linapokuja suala la pesa, na ni mtu ambaye anajifanya anajua kila kitu. Ingawa anasema amesoma afya, kuna vitu vingi havielewi.

Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation" kwa mimba ya umri huo na gharama yake( makadilio)

Asanteni
Evacuation ni Bure Bob arudi pale pale alipopima wakamwambia kuna hatari ya kuharibika au kama vipi mpe tu elfu thelathini ya soda ya atakaemfanyia..
 
Evacuation!!
Toka lini ikawa 500k? Akati haizidi hata 150k

Ila hapa unapigwa, ukute na mimba haikuwepo, au km ilikuepo basi kaitoa kusudi akupige pesa ndefu ya MVA. lol
 
Unapigwa mshamba wewe mimba ya wiki nne abortion yake si damu tu sasa MVA ya nini hapo apige antibiotics tu a ache wizi
 
Namshauri aanze na hii,,alitaka kumtapeli kaenda hosp gharama sio io 500,000
Huyu mwanamke basi tu! Sometimes sisi vijana ngono zinatupeleka vibaya. Huyu alitaka kunitapeli hadi hela ya posa, alinimbia posa yake ni 1M . kwa kadili ya mazingira ya kwetu posa umepigwa sana ni 500k.
 
Huyu mwanamke basi tu! Sometimes sisi vijana ngono zinatupeleka vibaya. Huyu alitaka kunitapeli hadi hela ya posa, alinimbia posa yake ni 1M . kwa kadili ya mazingira ya kwetu posa umepigwa sana ni 500k.
😂😂😂😂ila we jamaa uliamua tu kujimaliza,,hata uyo mtoto angezaliwa bora ungelea tu na sio kuoa uyo kiumbe
 
Back
Top Bottom