Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787] Shinikizo la wazazi mkuu. Familia walipata taarifa kutoa aibu kama familia walitaka nifanye hivyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaa uliamua tu kujimaliza,,hata uyo mtoto angezaliwa bora ungelea tu na sio kuoa uyo kiumbe
Asante kwa comment mkuu. Huyu mwanamke atakuwa na dalili zote za uchawi.Evacuation!!
Toka lini ikawa 500k? Akati haizidi hata 150k
Ila hapa unapigwa, ukute na mimba haikuwepo, au km ilikuepo basi kaitoa kusudi akupige pesa ndefu ya MVA. lol
Aseeee basi ungejuta,,sawa namsha KENDE[emoji1787] Shinikizo la wazazi mkuu. Familia walipata taarifa kutoa aibu kama familia walitaka nifanye hivyo.
Yuko mkoa gani? Sound like someone familiar to me. Kuna deni mmoja namjua. Ana sifa hizo hizo. 1. amesoma mambo ya afya (japo ni kama kilaza wa mambo hayo na ni mbishi sana), 2. Huwa anajifanya mimba inataka kutoka hivyo inatakiwa dawa ya kuzuia 3. Ikitoa anadai fedha nyingi za kusafishwa. Kwa kifupi haaminiki. Pengine anaweza kuwa huyu. Na mbaya zaidi ana watoto japo akikutana na mwanaume huwa anadanganya hana.Yeye kila kitu anajifanya anafahamu! Hapa nimejichanganya kuna muda nawaza nakosa majibu. Nililazimika kumtolea posa kwasababu ya hiyo Mimba.
Uko Tabora?Yuko mkoa gani? Sound like someone familiar to me. Kuna deni mmoja namjua. Ana sifa hizo hizo. 1. amesoma mambo ya afya (japo ni kama kilaza wa mambo hayo na ni mbishi sana), 2. Huwa anajifanya mimba inataka kutoka hivyo inatakiwa dawa ya kuzuia 3. Ikitoa anadai fedha nyingi za kusafishwa. Kwa kifupi haaminiki. Pengine anaweza kuwa huyu. Na mbaya zaidi ana watoto japo akikutana na mwanaume huwa anadanganya hana.
Nimemuuliza mwenye huyu mwanamke, unless iwe ni wewe unatumia username nyingine.Uko Tabora?
Huyu itakuwa ni pacha ake.Yupo Songea.Yuko mkoa gani? Sound like someone familiar to me. Kuna deni mmoja namjua. Ana sifa hizo hizo. 1. amesoma mambo ya afya (japo ni kama kilaza wa mambo hayo na ni mbishi sana), 2. Huwa anajifanya mimba inataka kutoka hivyo inatakiwa dawa ya kuzuia 3. Ikitoa anadai fedha nyingi za kusafishwa. Kwa kifupi haaminiki. Pengine anaweza kuwa huyu. Na mbaya zaidi ana watoto japo akikutana na mwanaume huwa anadanganya hana.
Asante sana
Niko serious mkuu. Ila huyu yupo Dar japo ni mwenyeji wa Songea.Huyu itakuwa ni pacha ake.Yupo Songea.
Itakuwa ni marafiki,kwasababu pigo ni hizo hizo.
Ndugu zangu,
Naomba msaada wenu. Mpenzi wangu, ambaye yuko mbali na mimi , alikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili.
Ijumaa iliyopita alienda hospitali akiwa ananyesha na kuambiwa kwamba mimba inataka kuharibika. Alipewa dawa, lakini baada ya kuitumia siku moja, mimba ilitoka.
Tangu Jumapili amekuwa na maumivu ya tumbo. Sasa kaniambia anahitaji kufanyiwa "Evacuation" na gharama yake ni laki tano. Naomba kujua, hii gharama ni ya kawaida?
Nina wasiwasi kwa sababu huyu binti sio mwaminifu linapokuja suala la pesa, na ni mtu ambaye anajifanya anajua kila kitu. Ingawa anasema amesoma afya, kuna vitu vingi havielewi.
Naombeni mawazo yenu kuhusu "evacuation" kwa mimba ya umri huo na gharama yake( makadilio)
Asanteni
ACHANA NAE.Yeye kila kitu anajifanya anafahamu! Hapa nimejichanganya kuna muda nawaza nakosa majibu. Nililazimika kumtolea posa kwasababu ya hiyo Mimba.
Asante kwa comment!Unapigwa mshamba wewe mimba ya wiki nne abortion yake si damu tu sasa MVA ya nini hapo apige antibiotics tu a ache wizi
Hichi kiumbe kimeshawahi kuishi huko dar...au itakuwa ni yeye mwenyewe. Aliomba hela ya kuzui mimba isiharibike nilituma aliniambia kuwa amelazwa.Leo kaniambia hii.Niko serious mkuu. Ila huyu yupo Dar japo ni mwenyeji wa Songea.
NILIKUWA NIMEPANGA HIVYO, NA NITAFANYA HIVYOACHANA NAE.
HUYO ATAKUFANYA UKOSE FURAHA MILELE.
Mnene au mwembamba? Ana watoto?Hichi kiumbe kimeshawahi kuishi huko dar...au itakuwa ni yeye mwenyewe. Aliomba hela ya kuzui mimba isiharibike nilituma aliniambia kuwa amelazwa.Leo kaniambia hii.
Huyu ni mwembamba ,lakini alikuwa anaishi na sister yake ambaye ni mnene na ana mtoto/watoto.Mnene au mwembamba? Ana watoto?