Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Mbona unafungua kodi kirahisi hivyooo???Huyu ni mwembamba ,lakini alikuwa anaishi na sister yake ambaye ni mnene na ana mtoto/watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unafungua kodi kirahisi hivyooo???Huyu ni mwembamba ,lakini alikuwa anaishi na sister yake ambaye ni mnene na ana mtoto/watoto.
Huyo ni mnene. Mh... Anyways. Nilichogundua ni kuwa wengi hu-share mbinu za kutapeli wanaume. Huyo ninayekuambia alikuwa amefikia hatua ya kumchukuwa mtoto mdogo aliyezaa na jamaa, anampeleka hospital, anaongea na shoga yake ambaye ni nurse, wanamvalisha yale madude ya kupumulia (kumbuka haumwi hata kidogo) , anampiga picha, halafu anamtua jamaa ili atume fedha za matibabu. Na hata yeye alikuwa anajilaza kitandani, anawekewa drip ya uongo (hawachomeki ile sindano kiukweli), anapiga picha halafu anatuma ili apate fedha za matibabu.Huyu ni mwembamba ,lakini alikuwa anaishi na sister yake ambaye ni mnene na ana mtoto/watoto.
Yesoooouh😱Huyo ni mnene. Mh... Anyways. Nilichogundua ni kuwa wengi hu-share mbinu za kutapeli wanaume. Huyo ninayekuambia alikuwa amefikia hatua ya kumchukuwa mtoto mdogo aliyezaa na jamaa, anampeleka hospital, anaongea na shoga yake ambaye ni nurse, wanamvalisha yale madude ya kupumulia (kumbuka haumwi hata kidogo) , anampiga picha, halafu anamtua jamaa ili atume fedha za matibabu. Na hata yeye alikuwa anajilaza kitandani, anawekewa drip ya uongo (hawachomeki ile sindano kiukweli), anapiga picha halafu anatuma ili apate fedha za matibabu.
Mh... Mbona nasikia kuna msemo kuwa mwanamke wa kingoni kwenye mambo ya fedha ataaminika lakini ikifika suala la yale mambo ni lazima agawe?cocastic tumtafute huyu binti anatudhalilisha wangoni hatuko hivi😂😄
Ndio nakusikia wewe leo aisee🤔Mh... Mbona nasikia kuna msemo kuwa mwanamke wa kingoni kwenye mambo ya fedha ataaminika lakini ikifika suala la yale mambo ni lazima agawe?
Duh Sijajua Daktari Gani anamfanyia Au Nani anamfanyia Ila Kwa Mimi Ninavyojua Evacuation tunafanya Kwa Wateja (Waliopoteza Mimba au Wanaotaka Kufanya Abortion) beyond 14 Weeks mpaka Weeks 26 Hivi..
Asante Dr ..kwa muongozo!Duh Sijajua Daktari Gani anamfanyia Au Nani anamfanyia Ila Kwa Mimi Ninavyojua Evacuation tunafanya Kwa Wateja (Waliopoteza Mimba au Wanaotaka Kufanya Abortion) beyond 14 Weeks mpaka Weeks 26 Hivi..
Chini ya Hapo Tunafanya Vacuum Aspiration Tu kwa Kutumia MVA tube...
Bei aliotaja kwa Dar Es salaam ni kawaida..
Ila Procedure Inapingana na Mimba Ya Mwezi mmja na wiki Mbili yaani wiki Sita..
Yaani Wiki sita Ufanye Evacuation badala ya MVA?
Sijajua Daktari anayemfanyia kwakwel..
Namshakende
Itakuwa ni ndugu yako [emoji1787]Ndio nakusikia wewe leo aisee[emoji848]
Living satan kabisaHuyo ni mnene. Mh... Anyways. Nilichogundua ni kuwa wengi hu-share mbinu za kutapeli wanaume. Huyo ninayekuambia alikuwa amefikia hatua ya kumchukuwa mtoto mdogo aliyezaa na jamaa, anampeleka hospital, anaongea na shoga yake ambaye ni nurse, wanamvalisha yale madude ya kupumulia (kumbuka haumwi hata kidogo) , anampiga picha, halafu anamtua jamaa ili atume fedha za matibabu. Na hata yeye alikuwa anajilaza kitandani, anawekewa drip ya uongo (hawachomeki ile sindano kiukweli), anapiga picha halafu anatuma ili apate fedha za matibabu.
Ndo tabu yakuwa na demu badala ya mke,, lazima uaminifu ukaribiane na ziro.,muoe ili umuhalalishe.Ni demu tu mkuu
Hahahah huenda kwelItakuwa ni ndugu yako [emoji1787]
Asante sana mkuu. Hela sina, bado najitafuta . Baadhi ya mabinti wakiona tu kuna sehemu umejishikiza , wanawaza huyu mtu hela anayo, kumbe sio kweli.Pole sana ila ni unataka kupigwa pakubwa mno mno au unahela sana mpka akufanyie ivo
Hahahaha! anatokea "Bombi hii nyumba hii" karibu na ofisi yako.Hahahah huenda kwel
Hahha huenda namjua kabisaHahahaha! anatokea "Bombi hii nyumba hii" karibu na ofisi yako.