Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho


Mvunje miguu mjeruhi na uso hapo atahitaj mtu mwenye imani kubwa kumkubali wewe furaha yako ni kumuona anapoteza hapo itakua umeshinda[emoji57]
 
Tatizo letu mapenzi tunayaweka ni kama biashara, why uanze kujutia pesa yako je usinge poteza pesa yako usingejuta.Yaacheni mapenzi yafanye kazi yake we hapo ulikua hupendwi au ulikua unapendwa lakin pengine wwe ulipungua.

Muache mtoto wa watu tafuta wako wakukufaa naweza kuku shauri umvunje mguu je utamvunja kweli je ukisha mvunja utafaidika na nini cha maana?

Hua muda wa kutaka kumkomoa ni bora ukatumia kutafuta vizur vya kufanya.
 
Shkh ni vyema tukaungana maana naenda kutoa fundisho mahali kwa takataka moja sema options ni makali sana.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mi naomba nipate tu picha halisi kwamba huyo manzi alianza vituko vituko au kakuchinjia baharini kmya kimya, na je mna umri gani kwa sasa wewe na yeye? Vipi alishaulizia habari za wewe kwenda kwao na ukapotezea? Mlikuwa mnaishi pamoja au kila mtu kapanga kwake? Calibre yake ipoje ni wale mademu wapole na wasikivu au much know flani wale opportunistic waliokaa kijanja janja? Hali ya mawasiliano yenu ilikuaje before where you good communicators au we ulimuachia mzigo wa kukupigia simu huku ukiwa busy mda wote tu? Ulikuwa unamsikiliza akili yake na kuitafsiri kwa yale ambayo alikuwa analalamikia? Yataje!

Hii itanisaidia kumchagulia adhabu inayomstahili!
 
@mods tuunganishie hizi nyuzi tutoe ushauri kwa pamoja
 
Mchumba hasomeshwi
 
Mpeleke akaangalie wenzie waliopumzika kwenye shamba la Mungu. Umwambie na yeye ameshakaba kiwanja imebaki kuhamia tuu
 
Achana na huyo mwanamke for god let her go

Kuna siku utashangilia ushindi kwa kumuacha na Kuna siku atajutia kukupoteza.

Huna haja ya kumuonesha upande wa pili wa maisha yako,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…