Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho

Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho

Mkuu nenda driving School ukimaliza mafunzo tafuta leseni ya udereva halali isiyo na shaka baada ya hapo tafuta million 1 alaf kama hauna gari azima kwa rafiki yako yoyote then nenda mtaani kwao huyo demu wako na upaki gar njia anayoweza kupita huk ukiwa haujazima gari na mguu uwe kwenye clutch na breki akitokea tu achia clutch umvae hakikisha unamuuwa kabisa na baada ya hapo kajisalimishe polisi upelekwe mahakamani ukalipe fain ya elf 80 na uwe huru
Hizi trafic case hazinaga shida ukiwa na leseni
 
Dah nimesoma comment nacheka saana. Ebu tutumie picha ya huyo dem tumuone, yaliomo yamo.
 
Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.
Dawa mpe talaka tatu tu.
 
Tafuta msichana mzuri kuliko huyo wa mwanzo kisha pita nae karibu na kwao hakikisha anakuona mnavyopita kimahaba na mwanamke wako mpya.
 
Unateswa na mazoea na siyo mapenzi na gharama! Waliokomaa kimahusiano hawahesabu gharama na ukiona mwanaume anahesabu gharama alizotumia kwa mwanamke huyo hajui kupenda na Ana udhaifu Aidha wa kimaumbile au kiakili!
Jifunze kutohesabu gharama kwa mwanamke kwani utakuja fia jela kwa uchoyo wako!
Nakushauri kiungwana kabisa kuwa; maadam mmeshatengana nenda hatua tatu mbele ya kujifunza kumsahau kwa kuziharibu kumbukumbu zake zote alizoacha kwako na futa sms na picha zake na namba yake ya simu kwenye simu yako! Ikikupendeza hama mtaa au usipite mtaani kwao. Utamsahau ukiamua na usimfanye chochote kibaya kwani utampa ushindi wa bure. Tulia na usikurupuke kufanya replacement usije ingia mtego mwingine wa mateso.
 
Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.

Karma is bitch, just relax & focus na maisha Yako piga kazi, Usisahau kumwomba MUNGU.....

Kuna wimbo bonge la nyau anaimba unaitwa "VISE VERSA"....Nini Tena kwa mola niombe niliomba pesa akanipa.......

By the way najua uchungu wa kumpoteza unae mpenda.....factors ni nying sanaa zinazo sababisha separation....

Believe me MIAKA mi 3 mpaka mi 5 ijayo huyo bidada atakuja piga goti kwako akiomba second chance...... maana dunia hadaa ulimwengu ni shujaa #Save the day
 
Maisha ya leo una haja gani ya kuhangaika na mtu, is she the only one on earth?
 
Habari za asubuhi wakuu, poleni na pilikapilika na kutafuta liziki ya hapa na pale, sitaki kuongea mengi naomba nieleze kwa ufupi sana na naamini kwa walio pitia kadhia kama yangu watakuwa wanaelewa, nimekuwa kwenye mapenzi na binti kwa miaka 8 (nilianza nae mahusiano nikiwa o-level, advance, chuo, na baada ya kuingia kazini baada ya masomo nikaanza taratibu za kutaka kumuoa). na nia na madhumuni yangu nilitaka kumuoa mwaka huu huu. uyu binti nimesha poteza pesa, muda na ata kuatalisha maisha yangu kwaajili yake,

uyu binti nilimkamata na ushaidi usio na shaka kuwa anatoka na mtu mwingine (ninaposema usio na shaka namaanisha sijamsingizia mungu shaidi), cha ajabu akawa anajihami wala ajaangaika kuomba msamaa wowote ule (sijamaanisha kuwa aombe msamaa turudiane hapa, ni ule msamaa wa kuonyesha tu amekosa ingawaje kila mtu anaweza kuendelea na maisha yake) ndugu zangu siku ile ile nili-stop kuwasilina nae. sikuwahi kumtafuta kwenye maisha yangu yote (namaanisha tangu siku ya fumanizi), nikili ndugu zangu nime-inverst sana kwake yule dada nimepoteza sana muda wangu, sikuwahi kuwaza kuoa au kuwa na mwanamke mwingine ukiachana na yeye, amenisaliti amenionyesha kiburi.

nina cha kumlipa uyu bi-dada, nimekaa nimetafakari sana kuhusu uyu dada kuna kitu anastahili akipate, kalma is bitch, kuna maneno wanasema "move on na uendelee na maisha yako wanawake wapo wengi" ni kweli ila kwangu nahisi uyu bi-dada kuna kitu anastahili nimuachie ili asije nisahau kwenye maisha yake, nae pia ajifunze kitu hapa ulimwenguni, naombeni ushauri wenu wakuu kipi nimpatie ili iwe kumbukumbu pekee ambayo itabaki kwenye maisha yake yote.

Nilisha mwambia mapema sana kuwa awe makini asije akajaribu kuni cheat kama anaona hana malengo na mimi aondoke mapema tu kwenye maisha yangu (ilikuwa mwaka wa 1, 2,3... kwenye mahusino yetu).
Sipendi kumpotezea mtu muda kama sina malengo naye, ila ili la mimi kupotezewa muda nahisi limeniuma mnoo, kupoteza gharama zangu kwake limeniuma mnoo, binti kunidharau limenisikitisha sana.

NOTE: KUAMBIWA MOVE ON, UKIACHA ACHIKA, WANAWAKE WAPO WENGI AYO YOTE NAYATAMBUA ILA KWENYE ILI NAITAJI KUPATA KITU CHA KU-APPLY KWA UYU BI DADA, ILI UKO ATAKAPO KWENDA AWE NA ADABU.

Kuna mdau nilisoma uzi wake unasema: Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Uyo mdau nilielewa kwanini alifanya ivyo, kuna ile feeling naipata kwa maumivu alio achiwa moyoni, nami naitaji kufanya kitu, najua wadau mliopo humu mtanipa mbinu mikakati mizuri ikawe fundisho kwa binti ambaye ni msaliti.

WATU WANAULIZA IWEJE NIMEKAA NAE MIAKA YOTE IYO NANE (8) UFAFANUZI WANGU NI HUU:

nimeanza nae mausiano tangu nikiwa kidato cha pili mkuu (2 years olvel), je ningemuoa baada ya kumaliza form four ili hali wote tulikuwa kwenye miangaiko ya kuisaka elimu, nikaenda advanvace (2 years), je ningemuoa wakati namaliza advance ambayo kwenye mahusino tulikuwa ni 4 years, jibu ni hapa, nimeenda chuo 3 years, jumla miaka 7 nipo nae, mwaka wa 8 nikaingia kwenye ajira na kutangaza nia ya kumuoa, hapo kosa langu ni lipi, maana naona nahukumiwa kwa kukaa nae miaka nane.
Mkubwa nimekusoma...maumivu yako si kupotezewa muda..ila ni maumivu ya kuachwa...najua unaona kakutusi..kwa kwenda na mwingine..ingali wewe ulijiona mmiliki...pole..what if angekufa...ungefanya revenge na mzee mauti? Ungejua yeye mchawi mla watu je? Ungemuua au ungemkimbia mwwnyewe? Kama muda wote mlitumiana muda..so no one to blame. Wakati uko nae na yeye ujue aliforego fursa zingine...may be better than u..ila kwa kuwa kakuacha sasa unaweza usifikirie.Amini nakwambia hilo lililokutokea si la ajabu hapa duniani na wewe si wa mwisho...acha kupanga revenge..haitarudisha furaha uliopoteza but rather maumivu zaidi hasa pale itapokuwa ni sawa na kumpiga teke chura..ukamuongezea mwendo. Nakushauri u-change ur focus for now...first kubali umeshaachwa..but that is not the end...angalia malengo yako ya maisha...what if you revenge ukaishia segerea...nani atakusaidia kufikia malengo yako ambayo ni mema na yenye furaha zaidi...je huko jera siutakuwa unajutia kitendo chako...achana na ujinga wa revenge..the best revenge ni yeye akuone hujatetereka...maana wengine ni magent wa ibilisi..wanakuja kufanyika kikwazo ktk mibaraka ya Mungu..trust me...ukichana na revenge na kutumia same energy kufocus ktk malengo yako...utapiga spidi ya maendeleo hadi ushangae. Utapata tu wa ubavu wako..usilazimishe mambo!
 
naitaji kufanya kitu na roho yangu ipoe
Fanya basi tuone[emoji57][emoji57]

We umeona mwenzako kaleta chai yake humu nawe unataka kuiga, utanyongwa jela wewe...miaka 8 unamsugua tu mtoto wa watu bila mahali bila ndoa[emoji849]

Gadem hebu toka hapa!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Samehe Mkuu...mapenzi yana mambo mengi.

Hata mm nimewai kutana na situation kama iyo...mm niliomba msamaha na kusema siwezi kuendelea tena lakini nilijibiwa hakuna msamaha mpaka kesho kwa Mungu.

Kisingizio kama mada yako eti kaniudumia Sana. Sikatai lakini je hakuwa ananikula [emoji17][emoji17]

Na mm nilijibu kibingwa poa tu Muamuzi wetu atakuwa Mungu
Hakukuua[emoji16][emoji16][emoji16]

Maana ndo wanaume wengi wanadanganyana humu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
ishu hapa sio yeye kuwa na hisia na mimi au kutokuwa, the main issue hapa nataka kumpitisha kwenye tanuru lenye doruba kali, haijalishi ataumia kiasi gani i dont care, ila hapa dhumuni kuu ni yeye lazima apate malipo ya usaliti
Kiruuuu [emoji848]

Utampata wapi sasa? Una access nae?

Unataka umtumie watu wambake?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom