Naombeni mawazo yenu kwa adhabu anayo staili Mwanamke msaliti iwe fundisho

Halafu aikatae sio baada ya miezi 7[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ili Asikusahau Maishani Mwake Mpe Ujauzito.
 
Huna utakachofanya you’re just f#king coward... If you want to kill ...KILL DONT TALK
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimsokota mbususu ya mwanangu for 8 good years? Form 11 alikuwa teenager wa miaka 16 leo anatimiza miaka 25 ndo unaleta upuuzi wako humu JF? You must be jocking!
 
Mbona KOROE yupo fresh?
In every action there is equal and opposite reaction.

#YNWA
 
Revenge inamuumiza mtendaji na mtendwaji.
Mapendekezo ya revenge:-
1. Mtakie heri kwenye maisha yake usiwe na kinyongo naye;
2. Oa/Uwe na mpenzi mzuri wa sura na umbo mara kumi yake na akupende sana;
3. Fanya kazi sana uwe na mafanikio mara dufu zaidi yake yeye na mume wake na ndugu kwa pamoja
Revange ya ki-gentleman hiyo.
Revenge ya kishamba:-
1. Toka na ndugu yake/rafiki yake;
2. Jifanye mjinga umsamehe mrudiane kisha piga chini.
 
1. Hakuwa mke wako.

2. Miaka 8 unamla tu na ukafikiri unammiliki!! Jua kuwa na wewe ulimpotezea muda.

3. Kwa maoni yangu ni udhaifu mkubwa sana kwa mwanaume kulipiza kisasi kwa mwanamke. Tulishaambiwa tuishi nao kwa akili.
4. Unachotaka kumfanyia ni ushahidi tosha kuwa ulikuwa tegemezi kwake kihisia na ndio maana sasa hayuko nawe bado hisia zako zimeshindwa kujitegemea na kusonga mbele. Mwanaume hupaswi kumtegemea mwanamke kihisia hasa kama si mkeo.

Hapo mzee baba ulituwakilisha vibaya.

5. Unachotakiwa ni kufanya kazi kwa bidii, kutafuta pesa ili kumuonesha kuwa uko huru kihisia. Hilo ni pigo tosha.
 
Umeshamaliza maswali yangu yote. Hasa hapo kwenye umri

Cha kuongezea... what is muhfucking money? Kinachokuuma hapa ni hela ama ni nn? Wewe hukua unamla? Mwanaume ugharamike mdogo wangu
Unipotezee muda na pesa then uniache nikuache HIVIHIVI...
We "apandacho mtu ndicho atakacho vuna"

Subiri nikuvunishe ulichokipanda.

#YNWA
 
Alikuachaje HIVIHIVI...
Ulikutana na mbwiga basii.
Eti unitendee la kuniumiza halafu nikuache...

We ulisikia wapi?

In every action there is equal and opposite reaction.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…