Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mtumie huyo huyo ba mdogo ako kupata watasha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niunganishe na mdogo wako na mimi nikuunganishe na mtasha mmoja makini sana
Hawataki blacks kutoka africa..... preference zao ni black Americans wa kulekuleMkuu, naomba huyo mdogo wako wa miaka 25 nifanye nae maisha. Serious note.
We umejuaje kuwa mimi ni black kutoka Afrika? Mimi ni American.Hawataki blacks kutoka africa..... preference zao ni black Americans wa kulekule
😂Daaah job true true🙌We umejuaje kuwa mimi ni black kutoka Afrika? Mimi ni American.
Kwanini russia,poland na romania kiongozi na swala la uchumi halina shidaTafuta 15m, tafuta visa nenda russia, poland au romania huko kaa mwezi utapata ila uwe unajiweza kiuchumi.
Hapa bongo kuwa beach boy Zanzibar.
Lakini wengi si wanakua wamekuja na wenza waoNenda Zanzibar kuanzia mwezi wa sita utajichagulia wewe tu.
Lakini wengi si wanakua wamekuja na wenza wao
alama ya upatikanaji bangi ,wazungu wanavuta sana ganjaUshajiuliza kwa nini marasta wanakula sana warembo wa Kizungu wanaotembelea Tz?
Kwa mapana kidogo kiongozi, sijakupata apoNa ukienda ovyo unakula za uso
Ukisikia unyani ndio huu. Jipende ulivyo mtu mweusi kuowa au kuolewa na rangi nyingine ni unyani.Wanajamvi najua itakuwa strange kidogo, kwasababu kila mtu katika maisha yake kuna kitu anaitaji kuki achieve.Na mimi kiukweli natamani kupata european woman wa kuzaa nae achana na io mi shangazi hapana kwakeli ni wale age ya kawaida tu.
Naisi hii ilisukumwa sana na mamdogo angu ambaye alibahatika kuzaa na European man,walibahatika kuzaa watoto wa 3 wa kike kiukweli wale madogo wapo 23, 25, 27 nimewazidi kidogo wote ila siku nilipokutana nao nilidhani sio ndugu zangu kwasababu walivyo nadhani wote tunaelewa light skins walivyo na mimi nikawa na shauku ioio baadae.
Sasa basi nisiwachoshe sana ila kiukweli naomba kujua kwa wale wakubwa zangu walobahatika kwenda mambele japo nilibahatika kwenda uko lakini nilikuwa 15 kutembea na ma mdogo tu na sikutilia maanani izo ishu. Kwahiyo wakubwa zangu naombeni kwasababu najua humu kuna watu washawai experience na kuzaa nao kabisa.
NB: Sio kwamba sina mapenzi na dada zetu wa kiafrika ninao upendo wa kutosha ila tu kila mtu ana goals zake na io ni moja wapo ya goals zangu.
Naruhusu negative na positive pia. NAWASILISHA 🙌
Kwani nimesema sijipendi kiongozi,sema tu nimevutiwa nao ila kwa bongo nimetafuta mpaka nipo ovwesUkisikia unyani ndio huu. Jipende ulivyo mtu mweusi kuowa au kuolewa na rangi nyingine ni unyani.
Me napenda wazungu man sana sana Nina malengo yangu hao wenyew wanaongea wacha waongeeNimefurahi kuskia kuwa na wewe una harakati kama zangu🙌,sio joseph2 kusema kuwa ni unyani wakati kila mtu ana malengo yake
Nimefurahi kuskia kuwa na wewe una harakati kama zangu🙌,sio joseph2 kusema kuwa ni unyani wakati kila mtu ana malengo yake