Naombeni mchango wa mawazo juu ya hii Project.

Naombeni mchango wa mawazo juu ya hii Project.

Hiyo ya ku-track namba za simu za watu na Location waliyopo achana nayo, watu wanaweza kuitumia kufanya uhalifu, mwishowe ukaingia mgogoro na polisi.

Mimi cha kukushauri, Tengeneza APP maalumu kwa ajili ya watu wanaotafuta Nyumba za kupanga, Nyumba zinazouzwa na Fremu za maduka. Mimi naona kila siku watu wanatembea kwa miguu kutafuta nyumba za kupanga na Fremu za maduka, na wanaouza nyumba nao uangaika... Sasa Tengeneza APP ambayo itakayokuwa inaonesha ramani kama Google Map location, Picha za nyumba, Bei na kadharika... Kama Uber na Bolt wanavyofanya kwenye kukodi usafiri, lakini wewe unatengeneza za wanaotafuta nyumba za kupanga, fremu za maduka na nyumba zinazouzwa... Wewe unadili na REAL ESTATE
Hio App ipo , na inafanya kazi
 
Mimi ni flutter developer, shida yangu kubwa ni mfumo wa malipo, naitaji msaada kwa mtu anaeweza ku intergreate mfumo wa malipo yaani mtumiaji aweze lipia kwa mpesa , Airtel au Tigopesa .
Nione mkuu
 
Ni rahisi sana, nina push to pay API za Airtel & Tigo, ungependa nikupatie?? Lakini pia ili kukamilisha hillo kama unataka ku intergrate na operator moja kwa moja hakikisha una server iliyokuwa hosted kwenye mazingira yenye uwezekano wa ku establish ipSec vpn, ingawaje kwa airtel wao wanatumia open Api hawahitaji mambo ya ipSec tunnel. Kwa kuanzia unaweza anza na Airtel hawana mchakato mrefu compare to other operators.
Hapa sijakuelewa kwenye host
 
Back
Top Bottom