Naombeni Mchongo, Biashara au Part-time ya kupata 15k-30k kwa siku

Naombeni Mchongo, Biashara au Part-time ya kupata 15k-30k kwa siku

Wazee niende moja kwa moja kwenye mada. Najishughulisha na kuuza used materials, furniture, electronics nk ( kwa asilimia kubwa Im a middleman)

Lakini hizi siku mambo ngumu asee[emoji19]. Naombeni mchongo wowote, fursa, biashara yoyote nipate angalau 15k (kula na emergency)

Ni hayo tu. PM yangu iko wazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hua unauza kwa njia gani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu yako inategemea mambo mawili makubwa

1.Mazingira uliyopo

2.Mtaji

Mf ukinunua boda boda 2 ukawapa vijana kwa siku utapata 14,000/= boda 2 kuzinunua ni 4.8m -TVS

Ukifungua saloon 2 za kiume kwa 1.5m kwa siku utapewa 20,000/= kila saloon elfu 10.

Ukiwa na vijana watatu wa kuuza mayai...ukanunua baiskeli 2 kwa 120,000 kila moja na kuwa na mtaji wa 350,000/= sawa na trei 50 kwa siku kila trei ukapaga kiwango cha kawaida cha sh 1000 utapata elfu 50 vijana watatu posho plus msosi ni 15,000/= unabaki na 15,000/=


Ukinunua bajaj kwa 7.5m kwa siku utapata 15,000 unayoitaka

Ukinunua nisan au Costa kwa siku utapata around 40k to 50k

Swali hapo la muhimu Je una mtaji wa sh ngapi ?

Upo tayari kiasi gani kupambana

Sent using Jamii Forums mobile app
costa wanatoa 90 , na sasa level seats wamepunguziwa elfu 10 tu ...(jana nikiwa naelekea Tandika nimepiga sana story na dereva) level seats na anapelekea 80

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee niende moja kwa moja kwenye mada. Najishughulisha na kuuza used materials, furniture, electronics nk ( kwa asilimia kubwa Im a middleman)

Lakini hizi siku mambo ngumu asee[emoji19]. Naombeni mchongo wowote, fursa, biashara yoyote nipate angalau 15k (kula na emergency)

Ni hayo tu. PM yangu iko wazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Upo mkoa gani?
 
Wazee niende moja kwa moja kwenye mada. Najishughulisha na kuuza used materials, furniture, electronics nk ( kwa asilimia kubwa Im a middleman)

Lakini hizi siku mambo ngumu asee[emoji19]. Naombeni mchongo wowote, fursa, biashara yoyote nipate angalau 15k (kula na emergency)

Ni hayo tu. PM yangu iko wazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hht huku mambo hivyo hivyo we komaa huko huko
 
Ishu yako inategemea mambo mawili makubwa

1.Mazingira uliyopo

2.Mtaji

Mf ukinunua boda boda 2 ukawapa vijana kwa siku utapata 14,000/= boda 2 kuzinunua ni 4.8m -TVS

Ukifungua saloon 2 za kiume kwa 1.5m kwa siku utapewa 20,000/= kila saloon elfu 10.

Ukiwa na vijana watatu wa kuuza mayai...ukanunua baiskeli 2 kwa 120,000 kila moja na kuwa na mtaji wa 350,000/= sawa na trei 50 kwa siku kila trei ukapaga kiwango cha kawaida cha sh 1000 utapata elfu 50 vijana watatu posho plus msosi ni 15,000/= unabaki na 15,000/=


Ukinunua bajaj kwa 7.5m kwa siku utapata 15,000 unayoitaka

Ukinunua nisan au Costa kwa siku utapata around 40k to 50k

Swali hapo la muhimu Je una mtaji wa sh ngapi ?

Upo tayari kiasi gani kupambana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee naona una data kamili. Nitalitafuta aisee kwa saloon mbili za kiume kwa sh 1.5m tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu yako inategemea mambo mawili makubwa

1.Mazingira uliyopo

2.Mtaji

Mf ukinunua boda boda 2 ukawapa vijana kwa siku utapata 14,000/= boda 2 kuzinunua ni 4.8m -TVS

Ukifungua saloon 2 za kiume kwa 1.5m kwa siku utapewa 20,000/= kila saloon elfu 10.

Ukiwa na vijana watatu wa kuuza mayai...ukanunua baiskeli 2 kwa 120,000 kila moja na kuwa na mtaji wa 350,000/= sawa na trei 50 kwa siku kila trei ukapaga kiwango cha kawaida cha sh 1000 utapata elfu 50 vijana watatu posho plus msosi ni 15,000/= unabaki na 15,000/=


Ukinunua bajaj kwa 7.5m kwa siku utapata 15,000 unayoitaka

Ukinunua nisan au Costa kwa siku utapata around 40k to 50k

Swali hapo la muhimu Je una mtaji wa sh ngapi ?

Upo tayari kiasi gani kupambana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi hivi pikipiki Aina ya SANLG kwa Sasa shilingi ngapi sokoni
 
Back
Top Bottom