Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Hua unauza kwa njia gani mkuu?Wazee niende moja kwa moja kwenye mada. Najishughulisha na kuuza used materials, furniture, electronics nk ( kwa asilimia kubwa Im a middleman)
Lakini hizi siku mambo ngumu asee[emoji19]. Naombeni mchongo wowote, fursa, biashara yoyote nipate angalau 15k (kula na emergency)
Ni hayo tu. PM yangu iko wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app