Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIYO kazi ya damu ya Yesu kumfunika mtuPole sana Leejay49, Damu ya Yesu ikufunike usiku huu kesho upate kuamka salama na hilo jambo linalokutatiza liweze kupata ufumbuzi..
Hili haliwezi kumfanya akeshe mpaka muda huu, na angekuwa na upwiru basi angeota ndoto nyevu siyo ya kutisha..Mara ya mwisho umenanihii ni lini?
Muda mwingine ni mechanism ya mwili kutaka kupunguzwa uzito🤣🤣 elewa neno uzito🤣🤣👆
Kiislamu ukiota ndoto mbaya unaomba dua Mungu akukinge na Shari ya hiyo ndoto, halafu usimsimulie mtu.....Unakumbuka Yusuf/Joseph alipoota, Baba yake alimwambia asisimulie ndugu zake.....wasije kumfanyia vitimbi, ingawa yeye ndoto yake ilikuwa nzuri.
Unajua nini kuhusu damu ya Yesu?
Utani huu hapana rafikiMara ya mwisho umenanihii ni lini?
Muda mwingine ni mechanism ya mwili kutaka kupunguzwa uzito🤣🤣 elewa neno uzito🤣🤣👆
Kiislamu ukiota ndoto mbaya unaomba dua Mungu akukinge na Shari ya hiyo ndoto, halafu usimsimulie mtu.....Unakumbuka Yusuf/Joseph alipoota, Baba yake alimwambia asisimulie ndugu zake.....wasije kumfanyia vitimbi, ingawa yeye ndoto yake ilikuwa nzuri.
Damu ya Yesu ni neno lake (pamoja na mwili wake). Rejea kitabu cha Yohana.Unajua nini kuhusu damu ya Yesu?
Tuanzie hapo..
Namtania apunguze uoga tu....hofu ni mbaya kuliko ndotoUtani huu hapana rafiki
Utaishi binti yangu, usihofuGuys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Hofu...yes hofu mbayaNamtania apunguze uoga tu....hofu ni mbaya kuliko ndoto
Hata baada ya kusali rozali bado una wasiwasi?
Huna imani juu ya Yesu Kristo.
Bichwa komwee nikajua umelala fofofo... kumbe umo bhana[emoji23] aisee hii ngoma ni mpaka saa 12 hii.Umeota nini tena jamaniiii