Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 1,043
- 2,309
Sijaona popote aliporeply yupo salama kweli 😟Unaupweke sana mdogo wangu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona popote aliporeply yupo salama kweli 😟Unaupweke sana mdogo wangu..
😔😔😔😔Sijaona popote aliporeply yupo salama kweli 😟
Ila usingizi utakuwa umempata maana kama alikuwa macho saa nane,😔😔😔😔
Inaonekana alikuwa katika hali ya majuto ikafuata ndoto mbaya yenye code ile ile, hofu ikampandaWatoto wadogo hawafi kirahisi mkuu, yaani upo 20s unakubalije hata kuwaza tu? You'll live to see your grandchildren, usihofu!
Inbox please maana hilo jina si lako sahihi na kumbuka kuna nguvu za 1 kwa 1 kwenye maombi kupitia jina halisi.Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Amka omba mara kwa maraGuys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Nakucheki mda si mrefu, aisee jana nilikuwa na ugeni nikajisahau kabisa samahani mkuuHujaniitikia kaka
Sidhani kama tunahitaji kujua jina lake halisi, anahitaji tu faraja.Inbox please maana hilo jina si lako sahihi na kumbuka kuna nguvu za 1 kwa 1 kwenye maombi kupitia jina halisi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama tunahitaji kufahamu jina lake ila anahitaji faraja tu.Lii jeyii fote nayini umepatwa na nini, jua tunakupenda bado. Mungu akulinde ila kikubwa ondoa hofu na usikate tamaa , ila utuambie jina halisi tunakuombea , usiwe tunaomba Leejay49 kumbe mbinguni unatambulika kwa jina lingine
Kweli kuna mtu anamchezea tu hapo. Kikubwa aombe tu kwa Imani na tumpe faraja basi.Unapokabiliwa na hofu na mashaka, inaweza kuwa vigumu kujua ikiwa unafuata mwongozo wa Mungu.
Hofu inaweza kukufanya uhisi kama unashambuliwa, wakati shaka inaweza kukufanya uhoji kila kitu unachoamini. Hisia hizi zinaweza kuwa kali sana, na zinaweza kukuongoza kutilia shaka mpango wa Mungu kwa maisha yako.
Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba hisia hizi hazitokani na Mungu. Wanatoka kwa adui, na wamekusudiwa kukuzuia usifuate mapenzi ya Mungu.
Unapokabiliwa na hofu na mashaka, kumbuka mambo haya:
- Mungu yu pamoja nawe.
- Ana mpango wa maisha yako.
- Adui anajaribu kukudanganya.
- Unaweza kushinda hofu na mashaka kwa kumwamini Mungu.
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Wewe hebu njoo nikuoeGuys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana