Naombeni mnisaidie kuniombea wapendwa

Naombeni mnisaidie kuniombea wapendwa

Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Wakati wa mambo magumu Mungu ndiyo anajambo lake zuri juu yako hapo mbele , kumbuka Mungu ameruhusu hilo jaribio pia atakupa njia ya kupita hilo jaribu ni muda tu utaongea
 
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana

Nakuombea hali hiyo ikutoke usiweke hofu nayo ikakuvuruga, epuka kukaa peke yako maana shetani ndipo anawachukua kiroho na kuzipa umauti kwa kujidhuru
 
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Kuna msemo unasema ukionyeshwa jambo ndotoni basi limeshatatuliwa katika ulimwengu wa kiroho
 
Sometimes kuna mambo hutokea maishani hutusogeza/huturudisha karibu na mungu.

Mtumainie mungu kweny mapito yako na mtumainie yeye baada ya mapito yako.

Hata mungu hujisikia vibaya tunapomtafuta tuu wakati tukipitia magumu, mungu anapenda sana mahusiano ya karibu na binadamu, mahusiano ya kila siku, sio tuu tunapopata shida.

Nakutakia kila la kheri na nakuombea nguvu za yesu kristo, mzaliwa wa kwanza, yeye alizumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo, anayetupenda sana, akuponye, akutunze na akulinde.

Amen.
 
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Leejay49 unapopitia wakati mgumu kama huu ni vizur ukajikita kusoma biblia, haswa mistari inayoupa moyo amani na Assurance.

Isaya 41:9-13
[9]wewe niliyekushika toka miisho ya dunia, na kukuita toka pembe zake, nikikuambia, Wewe u mtumishi wangu; nimekuchagua wala sikukutupa;
[10]usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
[11]Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.
[12]Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakuwa kama kitu kisichokuwa, wale waliofanya vita juu yako.
[13]Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.
 
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea

Umeota kitu gani Leejay49 ?

Maana si kwa kuwa na hofu hivyo, kumbuka adui humjaza mtu hofu ili aweze kumshinda...
 
Mkuu ingekua vyema ungesema ni ndoto gani(ungeielezea).....Mungu akuondolee hofu
 
Back
Top Bottom