Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kumbe ni kabinti kadogoWatoto wadogo hawafi kirahisi mkuu, yaani upo 20s unakubalije hata kuwaza tu? You'll live to see your grandchildren, usihofu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni kabinti kadogoWatoto wadogo hawafi kirahisi mkuu, yaani upo 20s unakubalije hata kuwaza tu? You'll live to see your grandchildren, usihofu!
Wakati wa mambo magumu Mungu ndiyo anajambo lake zuri juu yako hapo mbele , kumbuka Mungu ameruhusu hilo jaribio pia atakupa njia ya kupita hilo jaribu ni muda tu utaongeaGuys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Tatizo ni hofu, ikishatoka basi.It i will pass ila hofu hupoteza muelekeo, kataa hofu
Kuna msemo unasema ukionyeshwa jambo ndotoni basi limeshatatuliwa katika ulimwengu wa kirohoGuys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Safi comradeAcha hofu amini Yesu kristu atakulinda na utakuwa sawa tu. Mwenyewe nimeota ndoto ya ajabu sielewi tafsiri yake ila nimemuachia Mungu afanye sehemu yake baada ya kuibatilisha ikiwa imetokana na ulimwengu wa giza.
Yes kaka shida shetani anatumia hofu kuvuruga kabisa muelekeo wa mtu ili ashindwe hata kumuamini MunguTatizo ni hofu, ikishatoka basi.
Kabinti kadogo tu mkuu kana wasiwasi sana. Hata hivyo ni ndoto tu, na ameshasali sijui mnaita rozali, asiogope.Kumbe ni kabinti kadogo
Leejay49 unapopitia wakati mgumu kama huu ni vizur ukajikita kusoma biblia, haswa mistari inayoupa moyo amani na Assurance.Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea
Kwa msaada zaidi nitamuombeaKabinti kadogo tu mkuu kana wasiwasi sana. Hata hivyo ni ndoto tu, na ameshasali sijui mnaita rozali, asiogope.
Mchana boss, now nimetingwaNakucheki mda si mrefu, aisee jana nilikuwa na ugeni nikajisahau kabisa samahani mkuu
hupatikani hata hivyoMchana boss, now nimetingwa