Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38]ila mshanaPole nimeshaingia kazini HUTAKUFA bali UTAISHI na kuwaona wana wa wana wako
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]mwache mwenzakoWewe hebu njoo nikuoe
Asante, barikiwa sana 🙏🙏Leejay49 nakupenda sana kwasababu upo social sana ukipata mitihani kama hiyo mwombe Mungu sana, hakuna jambo ambalo halipiti hata liwe gumu.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Si kazi ya damu ya Yesu kukutakasa akili.pole sana mke wangu,damu ya yesu ikapate kukutakasa akili pamoja na moyo na moto wa roho mtakatifu ukapate kuunguza hila mbaya za muovu shetani katika jina la yesuuu!! Amen
Nataka nikaoe ili katulie,mara chuchu zinamuuma mara kaota ndoto mbaya huoni nikimuoa atakuwa safe.[emoji38][emoji38][emoji38]mwache mwenzako
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji119]Nataka nikaoe ili katulie,mara chuchu zinamuuma mara kaota ndoto mbaya huoni nikimuoa atakuwa safe.
Hebu kaambie kaje dm chap
sasa anza kujichukulia point hapa huko mbele utakuwa unateleza tuNataka nikaoe ili katulie,mara chuchu zinamuuma mara kaota ndoto mbaya huoni nikimuoa atakuwa safe.
Hebu kaambie kaje dm chap
Ww mm sio kama hawa vijana wa hovyo humu ndan majobless kutwa kucha kushinda humu..we kaambie kaje dm au mpe namba yangu anitafute. Mm sio muumin wa kushinda humu masaa yote..kazi ni nyng sanasasa anza kujichukulia point hapa huko mbele utakuwa unateleza tu
Nilikuja kuangalia comment yako ya mwisho,kumbe bado una survive? Acha woga binti! Trust God above allAsante sana kipenzi 🙏
Kuwa na mpangilio mzuri kabla ya kulala , Kama kula matunda ,mazoezi kusikiliza worship music n.kGuys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Dear pole sana. Ila ujue tu hakuna kitu kibaya kama hofu. Najua ni ngumu kuondoa hofu hasa ikitokea kwenye mazingira ya ndoto mbaya usiku kwani hata mimi yameshanifika, ila nikuhakikishie ni ndoto tu. With time, you will be fine.Asante kipenzi 🙏🙏