Naombeni mnisaidie kuniombea wapendwa

Naombeni mnisaidie kuniombea wapendwa

Guys namshukuru Mungu naendelea vizuri mpaka sasa.... nawashukuruni members wote na moderators wote ambao mlikua pamoja nami usiku mapaka sasa wengine bado mnaendelea kunifariji kuhakikisha naipata amani niliyokua naitafuta maana haikua rahisi pekeyangu kulipita hili ,,. Wengine mlienda mbali zaidi mkaacha shughuli zenu pamoja na uchovu wote wa siku nzima ya jana lakini kwa upendo wenu mliamua kukesha pamoja na mimi kwa maombi na maneno yenu nimefarijika sana... Sina cha kuwalipa ila tu nawaombea mda wenu mlioutoa kwangu usipotee bure,,, Japo ni wengi ila ningeweza kuwataja kwa majina,, lakini kama mlivyoamua kunifata na kunifariji sirini basi iendelee kua siri. Mungu awabariki sana na ninawapenda sana wote 🙏🙏🙏🙏
 
Guys namshukuru Mungu naendelea vizuri mpaka sasa.... nawashukuruni members wote na moderators wote ambao mlikua pamoja nami usiku mapaka sasa wengine bado mnaendelea kunifariji kuhakikisha naipata amani niliyokua naitafuta maana haikua rahisi pekeyangu kulipita hili ,,. Wengine mlienda mbali zaidi mkaacha shughuli zenu pamoja na uchovu wote wa siku nzima ya jana lakini kwa upendo wenu mliamua kukesha pamoja na mimi kwa maombi na maneno yenu nimefarijika sana... Sina cha kuwalipa ila tu nawaombea mda wenu mlioutoa kwangu usipotee bure,,, Japo ni wengi ila ningeweza kuwataja kwa majina,, lakini kama mlivyoamua kunifata na kunifariji sirini basi iendelee kua siri. Mungu awabariki sana na ninawapenda sana wote [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Amina, Ubarikiwe
 
Guys namshukuru Mungu naendelea vizuri mpaka sasa.... nawashukuruni members wote na moderators wote ambao mlikua pamoja nami usiku mapaka sasa wengine bado mnaendelea kunifariji kuhakikisha naipata amani niliyokua naitafuta maana haikua rahisi pekeyangu kulipita hili ,,. Wengine mlienda mbali zaidi mkaacha shughuli zenu pamoja na uchovu wote wa siku nzima ya jana lakini kwa upendo wenu mliamua kukesha pamoja na mimi kwa maombi na maneno yenu nimefarijika sana... Sina cha kuwalipa ila tu nawaombea mda wenu mlioutoa kwangu usipotee bure,,, Japo ni wengi ila ningeweza kuwataja kwa majina,, lakini kama mlivyoamua kunifata na kunifariji sirini basi iendelee kua siri. Mungu awabariki sana na ninawapenda sana wote 🙏🙏🙏🙏
What happened in that midnight mkuu maana ilikua saa 8
 
Guys namshukuru Mungu naendelea vizuri mpaka sasa.... nawashukuruni members wote na moderators wote ambao mlikua pamoja nami usiku mapaka sasa wengine bado mnaendelea kunifariji kuhakikisha naipata amani niliyokua naitafuta maana haikua rahisi pekeyangu kulipita hili ,,. Wengine mlienda mbali zaidi mkaacha shughuli zenu pamoja na uchovu wote wa siku nzima ya jana lakini kwa upendo wenu mliamua kukesha pamoja na mimi kwa maombi na maneno yenu nimefarijika sana... Sina cha kuwalipa ila tu nawaombea mda wenu mlioutoa kwangu usipotee bure,,, Japo ni wengi ila ningeweza kuwataja kwa majina,, lakini kama mlivyoamua kunifata na kunifariji sirini basi iendelee kua siri. Mungu awabariki sana na ninawapenda sana wote [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hakika umeshiba neno la kiroho na bwana akafanye njia zako ziwe nyepesi na uponyaji wako uwe wa kudumu kabisa
 
Guys namshukuru Mungu naendelea vizuri mpaka sasa.... nawashukuruni members wote na moderators wote ambao mlikua pamoja nami usiku mapaka sasa wengine bado mnaendelea kunifariji kuhakikisha naipata amani niliyokua naitafuta maana haikua rahisi pekeyangu kulipita hili ,,. Wengine mlienda mbali zaidi mkaacha shughuli zenu pamoja na uchovu wote wa siku nzima ya jana lakini kwa upendo wenu mliamua kukesha pamoja na mimi kwa maombi na maneno yenu nimefarijika sana... Sina cha kuwalipa ila tu nawaombea mda wenu mlioutoa kwangu usipotee bure,,, Japo ni wengi ila ningeweza kuwataja kwa majina,, lakini kama mlivyoamua kunifata na kunifariji sirini basi iendelee kua siri. Mungu awabariki sana na ninawapenda sana wote [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Yesu akulinde dear.
 
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
chagua Mungu mmoja umwamini, rozali ni ibada ya miungu ya kirumi haina uhusiano na Mungu wa Yesu
kwahiyo wewe unaomba kwa mizimu na kwa Mungu. hautoboi
 
Back
Top Bottom