Naombeni mnisaidie kuniombea wapendwa

Naombeni mnisaidie kuniombea wapendwa

Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Acha hofu amini Yesu kristu atakulinda na utakuwa sawa tu. Mwenyewe nimeota ndoto ya ajabu sielewi tafsiri yake ila nimemuachia Mungu afanye sehemu yake baada ya kuibatilisha ikiwa imetokana na ulimwengu wa giza.
 
Bichwa komwee nikajua umelala fofofo... kumbe umo bhana[emoji23] aisee hii ngoma ni mpaka saa 12 hii.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂🙌🙌🙌 niko macho nimeamshwa na shemeji yako nimpe kimoja cha usiku kabla ya mapambazuko. 😂😂🙌

Siunajua tena CHA USIKU unashangaa tu IMOOOOOO lazima uamkee 😁
 
Acha hofu amini Yesu kristu atakulinda na utakuwa sawa tu. Mwenyewe nimeota ndoto ya ajabu sielewi tafsiri yake ila nimemuachia Mungu afanye sehemu yake baada ya kuibatilisha ikiwa imetokana na ulimwengu wa giza.
DAMU YA YESU itulinde mtumishi.

Nakufunika kwa DAMU YA YESU, nanyunyiza MATONE YA DAMU juu ya bichwa langu pamoja na bichwa la kaka yangu mimiamadiwenani
 
Mara ya mwisho umenanihii ni lini?
Muda mwingine ni mechanism ya mwili kutaka kupunguzwa uzito🤣🤣 elewa neno uzito🤣🤣👆

Kiislamu ukiota ndoto mbaya unaomba dua Mungu akukinge na Shari ya hiyo ndoto, halafu usimsimulie mtu.....Unakumbuka Yusuf/Joseph alipoota, Baba yake alimwambia asisimulie ndugu zake.....wasije kumfanyia vitimbi, ingawa yeye ndoto yake ilikuwa nzuri.
Upo sahihi!
 
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
Pole nimeshaingia kazini HUTAKUFA bali UTAISHI na kuwaona wana wa wana wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guys haijawahi kutokea mimi hadi wakati huu niwe macho, lakini leo imetokea ..
Nimeota ndoto mbaya sanaa, na kwa asilimia nyingi kama sio zote hii ndoto ina ukweli.,, naogopa jamani😭😭😭😭.. nimeamka nimesali rozali lakini bado nina wasiwasi nahisi kufa mwenzenu.
Incase msiponiona tena jukwaani mjue tu kuna jambo baya sana limenitokea, kwa wale wote ambao niliwakwaza kwa namna moja au nyingine naombeni mnisamehe sana,..please nahitaji maombi yenu sana
Naombeni msinitamkie maneno magumu cause nipo kwenye kipindi ambacho napambania amani ya moyo zaidi na sio kitu kingine chochote
Nawapenda sana
hiyo ndoto inahusu kuhisi kufa ama inahusu nini?

maana ndoto ina vitu muhimu maandalizi ya kitakachokutokea mbeleni au kilichotokea tayari
 
Back
Top Bottom