Naombeni mnisaidie niwe Mzanzibari. Nina Degree, maisha yamekuwa magumu kwangu

Hata ukiwa Mzanzibari bado utajulikana ni Mzanzibari wa kuhamia sio wa damu ya kule itakuchukua miaka 50 kuajiriwa kule, hao unaosema wanamaisha mazur wanaconnection teyari, ni kama walivyo harafu unavyosikia wanaitana Oman, Saudia etc. Hivyo kupata utambulisho wa kule si sababu ya kufanya upate ajira.
Komaa na kaajira chako hako kakuze ili upate kumuajiri mtu kisha mnakuwa na mgawanyiko mzuri wa masaa, unalalamika kuhusu masaa wakati kuna wengine tunakatamani hata hako kaajira chako tukapate mtaani kugumu, kweli watu tumetofautiana sanaaaaa
 
Population ya wazanzibari sio kubwa sana na Wapemba wanaosoma ni wachache sana kwahyo kwenye kipengele cha ajira wenyewe ni kama kushuka mlima kitonga iwe kwa hapa Bara au kwao visiwani
Wacheni ujinga wapumbavu jiongezeni huku kuna Wazanzibar kibao wanasota msolijuwa ndio maana mkifika huku wengi wenu mnakua mashoga tilizeni mpira kwenu mna MADINI ,gesi DHAHABU,TANZANAIT, NGORONGORO ,MANYARA KILIMANJARO NK
Mnafeli wapi watanganyika?
Mmoja Sisi tunawafumua marinda tuu kazi iendelee
 
Nyote milioni 60 mkija huku itakuwaje hebu kama vipi Sisi tupeni visiwa vya ukerewe nyinyi tuwape ZANZIBAR lkn amini nawambia baada miaka 20 mtaihama ZANZIBAR na mtajazana ukerewe ttzo Hamna akili washamba goigoi tegemez
 
Tusaidien tuwe wazanzibar
Nyinyi ndio chanzo cha umaskin ulioopo Zanzibar na bado tena mwaona hamjatosheka AKILI NDOGO HAIWEZ SHINDA NA AKILI KIBWA
#TUACHENI TUPUMUWE!
 
Sio kosa lako ila ni kosa la umalaya wa Mama yako na kukuzaa nje ya ndoa
 
Nyote milioni 60 mkija huku itakuwaje hebu kama vipi Sisi tupeni visiwa vya ukerewe nyinyi tuwape ZANZIBAR lkn amini nawambia baada miaka 20 mtaihama ZANZIBAR na mtajazana ukerewe ttzo Hamna akili washamba goigoi tegemez
Nyie mnaosukumwa vichogo ndo hamna akili.

Ka Kisiwa kenyewe kadogo tu kama Mkoa wa Dar afu mnajikuta wajuaji, hamjui tukitaka kuwapoteza kambi moja tu ya Bulombora inawatosha
 
watu kama nyie ndio mnaitwaga madingilai wanoko
 
Wewe hutokuja fanikiwa kamwe

Unaweza ajiriwa Ila uje ukutane na boss kichefuchefu utakoma kuringa

Utatamani urudi uliko toka

Shida yako wewe ni pesa sio ajira
 
Tatizo unachogo, sisi wazanzibar hua tuna wabonyeza wanetuu ili yasitoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asikuambie mtu zenji ni pagumu hasa kwa ishu ya ajira ..kuna ishu ya kujuana sana mbaya zaidi wazenji ni wabaguzi..mwaka juzi baada ya kupambana huku kutafuta ajira kwenye sekta ya afya nikawa naambulia kupata vibarua vyenye manyanyaso ya kufa mtu..ikabidi nijitose zenji....kitu cha kwanza kule wana leseni zao ambazo ni tofauti na za huku.... halafu ni ngumu kuaminika kama hujashikwa mkono kupelekwa na mtu wa kule..wazenji huwa hawawaamini wabara wanawaona kama mamburunyenge....ukiwa mkiristo popote pale wewe ni kafiri duhu...najisi mavi ya nguruwe.....
 
Ww kosa la umalaya WA kabila lako zima mnaokuja huku tukawf** kisha mkenda kujenga vibanda uko kwenu mtushukur mbwa mwitu nyinyi
Kwahyo haya matusi yote ni kisa mtoa mada amesema anataka kuja Zanzibar kutafuta kazi?

Au kuna lingine?
 
Wakati wa jiwe nilipigania sana niwe Raia wa Chato labda ningeotea fursa, nikafanikiwa kuwa raia wa Chato ila jiwe ndio likaenda na maji...

Dah kwa hiyo inabidi tena nipiganie kuwa Raia wa Zanzibara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…